[emoji38][emoji38][emoji119][emoji119]Hii mkuu....ya mwaka 1998..[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Hivi kweli natoa hela yangu dunia ya sasa naagiza hii 3S Japan..?
Hata hivyo nilivyomsoma yule mtu, lazima ni mstaafu..View attachment 1818888
Brand iliyokua inatoa model ya Musso ni Ssangyong, kampuni ya Kikorea. Ndio hao pia watengenezaji wa Korando kama wazijuaHivi wakuu ile gari toleo la musso ilikuwa ni brand ya toyota au musso ndio ilikuwa company yenyewe?
Yeah halafu hata fukwe zake mara nyingi zimepooza sana. Labda ile hotel ya Stella Maris tena napo ni hadi kuwe na graduation au visiting day ya wanafunzi wa Marian ndiyo huwa panachangamka kupitiliza maana binafsi napenda nikienda ufukweni nikute nyomi la watu na miziki kama yote.ILA lodge za Bagamoyo mizinguo tu. Bagamoyo ilitakiwa iwe sehemu ya kukimbilia haraka Dar ikikuchosha lakini ukienda unaishia kuwa bored. There is nothing
Inasikitisha sana. Yaani kungekuwa na hotel nzuri na reasonable prices weeknd kungekuwa kunajaa sana.Yeah halafu hata fukwe zake mara nyingi zimepooza sana. Labda ile hotel ya Stella Maris tena napo ni hadi kuwe na graduation au visiting day ya wanafunzi wa Marian ndiyo huwa panachangamka kupitiliza maana binafsi napenda nikienda ufukweni nikute nyomi la watu na miziki kama yote.
Oohh hivi mkuu wewe ni mwana marathon? Maana siyo mara ya kwanza kusikia unaongelea kushiriki hizi marathon mfano ile CRDB marathon kama sijakosea!Tarehe 1/8 kuna Tanga marathon. Nafikiri nitaenda huko. Kuondoka Dar tarehe 31/07
Ssangyong ya wakorea. Sijui ziliishiaga wapi zile gari.Hivi wakuu ile gari toleo la musso ilikuwa ni brand ya toyota au musso ndio ilikuwa company yenyewe?
Labda wakiamua tena kujenga bandari kutachangamka. That town is too beautiful to be boring.Inasikitisha sana. Yaani kungekuwa na hotel nzuri na reasonable prices weeknd kungekuwa kunajaa sana.
Yeah nashiriki mara kadhaa kwa mwaka. Jumapili ya juzi nilikimbia 21km Bima marathon ilianzia na kuisha mlimani city.Oohh hivi mkuu wewe ni mwana marathon? Maana siyo mara ya kwanza kusikia unaongelea kushiriki hizi marathon mfano ile CRDB marathon kama sijakosea!
Oh hongera Sana aiseeYeah nashiriki mara kadhaa kwa mwaka. Jumapili ya juzi nilikimbia 21km Bima marathon ilianzia na kuisha mlimani city.
Kabisaa mkuu...ile gari inatakiwa uwe na hela za kupambambana na lile tege..Lile tege limeendelea kuwa gonjwa sugu mpaka kwenye Vanguard aisee, seen some with hiyo makitu
Kuagiza ile gari Japan mpaka uiweke barabarani ni mkwanja mrefu kidogo..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah hana mke/mchepuko/danga?
Alikosa washawishi au mkwanja ndo ulifikia hapo?
Tatizo wastaafu wanadanganyana, ooh roho ya paka...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata km mstaafu bhana lol, afu hapo mke na mchepuko wake watakua wanaji mwaya mwaya "babe/mume ana gari" jamani khaaaaah.
Ni kweli mkuu ni chuma, lakini kwa mimi hapana mkuu...Chuma hiko....alisikika mchaga mmoja akisema!
Mzee Baba [emoji3][emoji3]Tatizo wastaafu wanadanganyana, ooh roho ya paka...
Ngoja ianze tege na kula tairi upande, pensheni ataiona chungu....
Ile gari ukikaa ndani hizo siti ni kama mabenchi tu..
Ni kweli mkuu mafundi wapo...ila wtz si unajua wanajazana ujinga, wanaambia hilo tege halitengenezeki....japo likitengenezeka litakuja tu kurudi...Mzee Baba [emoji3][emoji3]
Unazisagia kunguni hatari, pale Moshi mitaa ya mbuyuni pale Chipukizi kunao mafundi wazuri wa 'miguu' ya gari hizo
Duh!Ni kweli mkuu mafundi wapo...ila wtz si unajua wanajazana ujinga, wanaambia hilo tege halitengenezeki....japo likitengenezeka litakuja tu kurudi...
Kwa mtu ambaye si makini, atakuwa anapata hasara ya tairi za nyuma mara kwa mara..
[emoji16][emoji119][emoji119][emoji119][emoji16]Si kwamba nazisagia kunguni mkuu....nimemshangaa yule mwamba dunia ya sasa watu wanakaa ndani ya Vanguard, Rav4 miss Tz, Angalau escudo Second generation, Xtrail new model au second generation au Subaru XT....
Yule mwamba lazima ni pensheni inawasha ....