Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

ILA lodge za Bagamoyo mizinguo tu. Bagamoyo ilitakiwa iwe sehemu ya kukimbilia haraka Dar ikikuchosha lakini ukienda unaishia kuwa bored. There is nothing
Yeah halafu hata fukwe zake mara nyingi zimepooza sana. Labda ile hotel ya Stella Maris tena napo ni hadi kuwe na graduation au visiting day ya wanafunzi wa Marian ndiyo huwa panachangamka kupitiliza maana binafsi napenda nikienda ufukweni nikute nyomi la watu na miziki kama yote.
 
Yeah halafu hata fukwe zake mara nyingi zimepooza sana. Labda ile hotel ya Stella Maris tena napo ni hadi kuwe na graduation au visiting day ya wanafunzi wa Marian ndiyo huwa panachangamka kupitiliza maana binafsi napenda nikienda ufukweni nikute nyomi la watu na miziki kama yote.
Inasikitisha sana. Yaani kungekuwa na hotel nzuri na reasonable prices weeknd kungekuwa kunajaa sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah hana mke/mchepuko/danga?
Alikosa washawishi au mkwanja ndo ulifikia hapo?
Kuagiza ile gari Japan mpaka uiweke barabarani ni mkwanja mrefu kidogo..

kiasi kwamba angeweza kuagiza gari nyingine mbadala angalau yenye features za kisasa zaidi..

Yule lazima ni mstaafu kashajazwa ujinga huko..

Maana wastaafu wengi huku ninapoishi wanakaa nadani Ya Rav4 Masawe na Suzuki Vitara au Escudo first generation akijitahidi sana Second generation.....

Ile gari kwa dunia ya leo si ya kuagiza, ni kumvua tu mtu hapa hapa nchini
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata km mstaafu bhana lol, afu hapo mke na mchepuko wake watakua wanaji mwaya mwaya "babe/mume ana gari" jamani khaaaaah.
Tatizo wastaafu wanadanganyana, ooh roho ya paka...
Ngoja ianze tege na kula tairi upande, pensheni ataiona chungu....

Ile gari ukikaa ndani hizo siti ni kama mabenchi tu..
 
Tatizo wastaafu wanadanganyana, ooh roho ya paka...
Ngoja ianze tege na kula tairi upande, pensheni ataiona chungu....

Ile gari ukikaa ndani hizo siti ni kama mabenchi tu..
Mzee Baba [emoji3][emoji3]

Unazisagia kunguni hatari, pale Moshi mitaa ya mbuyuni pale Chipukizi kunao mafundi wazuri wa 'miguu' ya gari hizo
 
Mzee Baba [emoji3][emoji3]

Unazisagia kunguni hatari, pale Moshi mitaa ya mbuyuni pale Chipukizi kunao mafundi wazuri wa 'miguu' ya gari hizo
Ni kweli mkuu mafundi wapo...ila wtz si unajua wanajazana ujinga, wanaambia hilo tege halitengenezeki....japo likitengenezeka litakuja tu kurudi...
Kwa mtu ambaye si makini, atakuwa anapata hasara ya tairi za nyuma mara kwa mara..

[emoji16][emoji119][emoji119][emoji119][emoji16]Si kwamba nazisagia kunguni mkuu....nimemshangaa yule mwamba dunia ya sasa watu wanakaa ndani ya Vanguard, Rav4 miss Tz, Angalau escudo Second generation, Xtrail new model au second generation au Subaru XT....

Yule mwamba lazima ni pensheni inawasha ....
 
Ni kweli mkuu mafundi wapo...ila wtz si unajua wanajazana ujinga, wanaambia hilo tege halitengenezeki....japo likitengenezeka litakuja tu kurudi...
Kwa mtu ambaye si makini, atakuwa anapata hasara ya tairi za nyuma mara kwa mara..

[emoji16][emoji119][emoji119][emoji119][emoji16]Si kwamba nazisagia kunguni mkuu....nimemshangaa yule mwamba dunia ya sasa watu wanakaa ndani ya Vanguard, Rav4 miss Tz, Angalau escudo Second generation, Xtrail new model au second generation au Subaru XT....

Yule mwamba lazima ni pensheni inawasha ....
Duh!

[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Back
Top Bottom