ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Kuna maumivu flani ya moyo sio ya kawaidaNishapiga tuta....
niko kama 140kph usiku tuta hili nilipiga breki nilipokaribia nikaiachia gari ikapanda ikashuka abiria waliolala wote waliamka! Dakika tano nzima naendesha huku nasubiria taa gani itajipendekeza kuwaka kwenye dashboard huku nasikilizia shocks na wenzie. Kila kitu kilikuwa poa nikasema asante Mjerumani Moto ukaanza upya.
Salamu zao kwediboma hukoHandeni moja najiandaa kuingia interior
Huku Kwediboma si ndio kuna chocho la kutokea Kiteto?Salamu zao kwediboma huko
Nimefika salamaMungu akutangulie
Safety ni kitu cha kwanza Mkuu unapokuwa safariniSafari njema Mkuu, safety first
🙏🙏🙏Usiwe unajaza full tank kama unatoka Bara (nje ya source ya mafuta)
Ungejaza ya kukufikisha Mafinga
Unaokoa hela za kulia Kuku Singida.
Mafinga unajaza full kwa kuwa bei ni nafuu kama Dar (sijui kwa nini)
Dodoma tena Full.
(Full tank = nozzle itakapo kata mafuta, Usijaze hadi pomoni)
Safari njema, usisahau mrejesho.
Mkuu mkeka tokea mwigumbi hadi Bariadi aiiisee nimeupenda sana umetuliaa sana umenifanya nisichokee Big UpLamadi ndio makao makuu ya wilaya ya Busega- Simiyu
Pale tinde nyooka hadi maganzo, mwighumbi, maswa na Bariadi mkeka umetulia hadi nyakabindi dutwa na mkula
Unatokezea lamadi
Hongera mkuuNimefika salama
🙏🙏Hongera mkuu
Hii siyo ya kwediboma hii either unatoka Handeni kuelekea Korogwe ama unatoka Handeni kuelekea Mkata ndo barabara zenye lami ya kiwango hicho
VX huwa tunavimbiana sana 😀😀😀. Kuna mmoja anikinukisha, nikawa nacheza nyuma yake kumuonesha kwamba hamna kitu, nilicheza nae hivyo kama km 100.. nilipokiwasha mie hakuonjona tena alikaribu chini juu kunitafuta akafa fail kabisa, akanikuta nimepataki gari pale kibagaigwa, ikabidi ashuke tupige story mbili tatu 😀😀😀Hahaha naikumbuka sana hii mkuu. VX zimenifanya nienjoy sana leo.
Umefika salama mkuuHandeni moja najiandaa kuingia interior
RRONDO anaweza kukupa msaada ana uzoefu zaidi wa hizo germany machineRoad trippers mpo? Hivi kati ya audi A4 1.8 quattro na BMW 3 series 2L, ipo imetulia na iko njema huko road?
Wanatuonaga kama vi nzi hivi barabarani mpaka tuwapelekee moto ndio wanashtuka.VX huwa tunavimbiana sana [emoji3][emoji3][emoji3]. Kuna mmoja anikinukisha, nikawa nacheza nyuma yake kumuonesha kwamba hamna kitu, nilicheza nae hivyo kama km 100.. nilipokiwasha mie hakuonjona tena alikaribu chini juu kunitafuta akafa fail kabisa, akanikuta nimepataki gari pale kibagaigwa, ikabidi ashuke tupige story mbili tatu [emoji3][emoji3][emoji3]