Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Nafikiri gari za ulaya hazitaki shurba zisizo na msingi, na kama ukiipa shurba moja kwa moja kaifanyie service ya kueleweka. Tofauti na hapo ni swala la mda .. ikichachamaa utaona ni gari sumbufu . Lilee kama yao flani hivi utafurahia mwenyewe
Yai ila tamu [emoji23][emoji23]

Naanza trip ya Babati muda si mrefu. Acha nisafiri na mwanga ni enjoy hii road
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…