ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Yai ila tamu [emoji23][emoji23]Nafikiri gari za ulaya hazitaki shurba zisizo na msingi, na kama ukiipa shurba moja kwa moja kaifanyie service ya kueleweka. Tofauti na hapo ni swala la mda .. ikichachamaa utaona ni gari sumbufu . Lilee kama yao flani hivi utafurahia mwenyewe
Kesho jioni dodoma, jumanne mchana naanza safari ya Tanga 😀😀Yai ila tamu [emoji23][emoji23]
Naanza trip ya Babati muda si mrefu. Acha nisafiri na mwanga ni enjoy hii road
Safe trip mkuuYai ila tamu [emoji23][emoji23]
Naanza trip ya Babati muda si mrefu. Acha nisafiri na mwanga ni enjoy hii road
Shukrani mkuu [emoji120]Safe trip mkuu
Tayari kimeumana... huwezi kutulia weweKesho jioni dodoma, jumanne mchana naanza safari ya Tanga [emoji3][emoji3]
Shukrani mkuuSafari njema
Mkuu nikitulia sehemu moja nitakufa njaaaTayari kimeumana... huwezi kutulia wewe
Uko na gari ganiAisee...70km so far hakuna tuta, shimo wala tochiView attachment 1849360
Safii sana.. hapo nahisi unatembea na 150 180Aisee...70km so far hakuna tuta, shimo wala tochiView attachment 1849360
Aisee! 70km bila tuta wala tochi?Aisee...70km so far hakuna tuta, shimo wala tochiView attachment 1849360
Tuta nimekija kuliona baa ya 150km. Na hakuna viraka barabarani. Si mchezoAisee! 70km bila tuta wala tochi?
Nilikuwa natembelea 180+ ila nikaacha, nikaamua nienjoy huu mkeka mdogo mdogo. Hamna competition huku.Safii sana.. hapo nahisi unatembea na 150 180
Nakubali mkuu, ila inafaa kwa barabara hizi tu ambazo hazina usumbufu wa yangeyangeUnaona Raha ya kusafiri mchana?! Unaona km kadhaa mbele
Dom to Kondoa. Yani hilo tuta liko ukiwa unakaribia kabisa Kondoa. Humo kati kote kweupeHio ni from Dom to ?