Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Nafikiri gari za ulaya hazitaki shurba zisizo na msingi, na kama ukiipa shurba moja kwa moja kaifanyie service ya kueleweka. Tofauti na hapo ni swala la mda .. ikichachamaa utaona ni gari sumbufu . Lilee kama yao flani hivi utafurahia mwenyewe
Yai ila tamu [emoji23][emoji23]

Naanza trip ya Babati muda si mrefu. Acha nisafiri na mwanga ni enjoy hii road
 
Aisee...150km so far hakuna tuta, shimo wala tochi
20210711_103911.jpg


View attachment 1849483
 
Back
Top Bottom