Hizi ni around 140+ KmsMkuu hiyo barabara tamu sanaa nilitoka dom kwenda kondoa wiki iliyopita nilifurahi sana maana mwendo ni 180 narudi 160 yaani tuta nimekuja kulikuta karibu na kondoa tena unapunguza kidogo tu kama 100 hivi unapotea nilitumia saa moja na robo kutoka dom mpk kondoa.
Kabla ego hazija take over [emoji1787]140 mwendo wa starehe....kabla hujachokozwa na mtu [emoji23][emoji23][emoji23]
Bila shaka. Humu mjerumani ndio penyeweHio inabidi Mjerumani ahusike.
Plus sikuwa na haraka nikaona sasa nachoma mafuta ya nini? Nahisi naanza kuzeeka kama RRONDOSafi kabisa. Usalama kwanza. Uhai wako ni muhimu zaidi kuliko huko uendako
Hii barabara sileti ligi na chuma isiyo na 180kmph speed limit. Hata kama ina 1200cc itanipita tu mwisho wa siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo inabidi uwakilishe siku moja mkuu.. ukichafue cha kiutu uzima
Ohooo hamna ishuSgd to bbt ni hovyo mkuu tuta za kutosha acha power tiller na ile mikokoten ya kuvutwa na wanyama!
Nje ya mada:Plus sikuwa na haraka nikaona sasa nachoma mafuta ya nini? Nahisi naanza kuzeeka kama RRONDO
Siku hizi unaenda ata border saa nane usikuHizi ndizo barabara za kwenda. Sema kuna lile pori mbele ya Ushirombo sijui, kuna utekaji, ama siku hizi haupo?
Na mbele ya kahama kule , ukiwa unaenda chato.. kule unatembea kabisa hata 300kmh
Pia from magu to bariadi kuna keka la maana kwa hisani ya world bank hakuna tuta ht moja
Mikeka yote hii nimeendesha dah.... ongezea hapo na Mwighumbi (Shy) - Lamadi kupitia Maswa / BariadiHii sawa na Nzega - Tabora mjini na pia sawa na Tabora mjini to Itigi
Acha kabisa tu mkuu... unatamani barabara isiisheMkuu hiyo barabara tamu sanaa nilitoka dom kwenda kondoa wiki iliyopita nilifurahi sana maana mwendo ni 180 narudi 160 yaani tuta nimekuja kulikuta karibu na kondoa tena unapunguza kidogo tu kama 100 hivi unapotea nilitumia saa moja na robo kutoka dom mpk kondoa.
Nimepita hatimaye mkuu, nimeiona... hizi ndio njia za kusafiri mchana. Sio Moro - Dar au Arusha - DarMy fave road, umeona ilivyo tamu eeh, askari waliopo ni barrier tu pale Zamahero-Zanka nafikiri otherwise ni kulaza mshale tu af hakuna traffic flow kabisa, njia ya hivi yafaa zaidi mchana tho usiku waweza ozea chaka ukipata breakdown [emoji4][emoji4]
Mimi nilishaacha kununua miwani kwa opticians miaka mingi tu nyuma. Nanunuaga plastic specs zenye lens tayari pale posta mpya, hata 15k haifiki. Hata nikivunja vunja haina hasara.Nje ya mada:
Huwa unaweka lens clinic gani hapa town?
Siku yangu ishavurugika[emoji1751]kioo changu kimoja nishakipasua.
[emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji91][emoji91]
15k Haifiki ?[emoji848]acha utani!Mimi nilishaacha kununua miwani kwa opticians miaka mingi tu nyuma. Nanunuaga plastic specs zenye lens tayari pale posta mpya, hata 15k haifiki. Hata nikivunja vunja haina hasara.
Muhimu kustaafuPlus sikuwa na haraka nikaona sasa nachoma mafuta ya nini? Nahisi naanza kuzeeka kama RRONDO
Siyo njia ya kwenda Bashnet pia? Kuna lile ziwa la chum I.Nikaingia zangu ndani ndani huko, njia ya Kwenda DongoBesh...
Kuna mlima mkali mno wameuwekea na lami kabisa, ila una views tamu sana
View attachment 1849732View attachment 1849733View attachment 1849735View attachment 1849734
Amazing viewsNikaingia zangu ndani ndani huko, njia ya Kwenda DongoBesh...
Kuna mlima mkali mno wameuwekea na lami kabisa, ila una views tamu sana
View attachment 1849732View attachment 1849733View attachment 1849735View attachment 1849734
Ndio hiyo, ukimaliza tu huu mlima unaingia Bashnet. Ziwa la chumvi linaonekana kwenye hiyo picha niliyotuma.Siyo njia ya kwenda Bashnet pia? Kuna lile ziwa la chum I.
Karibu mkuu15k Haifiki ?[emoji848]acha utani!
Hizo zitanifaa Sana..miwani yangu hata mwezi haijamaliza[emoji856],utadhani nimetupa 50k yangu kwenye tundu la choo.
Nitakutafuta unielekeze vizuri,,Mimi mgeni huko.