Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Eeh balaa wale yange yange wakitanda 😂😂😂 kerooUnaona Raha ya kusafiri mchana?! Unaona km kadhaa mbele
Hapo hata me huwa namwaga moto tu 😅😅😅 sehemu ya kujidai Autobhan ya kibongo! Uchawi ni usiku tu hapo usipokuwa makini unajitia kwenye horse uso kwa uso!Hichi kipande hichi.....
Hapa raia wanatunishiana misuli vibaya mno
Hahahahah hizo Taa ni msala kitu kikiwa Fatal ujue inakulaza njiani hio 😂🤣🤣Kabla ya hii trip nimesolve taa zote za dashboard.
Check engine ilikuwa kwasababu ya post-cat heated oxygen sensor. Gari ilivyokuwa chini inaonekana ilipiga ardhi pale connector harness ya sensor pakapasuka na waya kukatwa. New sensor nikaclear code kwa kale ka mashine kangu ka $10 check engine haijarudi tena
Fuga zina ujinga mmoja kukiwa na weakness yoyote kwenye braking system ina disable traction control, wanaita VDC (Vehicle Dynamic Control) na kuwasha taa za VDC OFF na SLIP. Ikiwa kwenye hii situation ukikanyaga hovyo linadrift na kuteleza, though its fun [emoji23][emoji23]. Nilicheki pads ziko fresh, kumbe mafuta ya breki yalikuwa nusu - hata sio low. Kujazia mpaka kwenye max taa zikazima after some driving.
Gari ikiwa na clean dashboard inaleta imani kidogo, sio christmas lights kama za wajerumani Cc Extrovert
Mkuu! Kwa mwezi huwa unaendesha wastani wa kilomita ngapi?Kwa leo, ukweli nilizamilia lolote kuanzia Trafic, tochi etc.. na cha ajabu na vurugu zote sijapigwa mkono hata sehemu moja, na kwa leo tu nimetembea km 957 bila unoko [emoji3][emoji3]
Hii wiki peke yake nimeendesha 1935km, ijumaa nachapa tena 900+km.. zikianza safari kwa mwezi huwa natembea km nyingi sanaMkuu! Kwa mwezi huwa unaendesha wastani wa kilomita ngapi?
Unafanya kui tune tuHiyo gari wameipa 400HP mnaiogopa hivyo.
Ingekuwa na 625HP si mngewaachia barabara kabisa?
Binafsi naona kabisa LC 300 bado ipo underpowered kwa ule ukubwa, mzigo ulitakiwa uteme not less than 550HP.
Aaah weeee, hamna . Mie nikikusimulia maboko niliyotoa unaweza hisi nilitakiwa nisiwepo.. nacho shukuru huwa sina emotion za papo kwa papo,ila ningekuwaga hivyo huenda ningepasua gari nyingi..Speed kubwa ni hatari kwenye gari imara hata za kinyonge.
Hatari inapotokea ni rahisi sana kupoteza dira.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu tunatofautiana.Aaah weeee, hamna . Mie nikikusimulia maboko niliyotoa unaweza hisi nilitakiwa nisiwepo.. nacho shukuru huwa sina emotion za papo kwa papo,ila ningekuwaga hivyo huenda ningepasua gari nyingi..
Unakuta unasema unachelewa na unatumia masaa ma5 hadi ma4.Dodoma masaa matatu inawezekana kabisa. Kama unachuma nzito na ipo juu.. mie nachelewa kwasababu gari zipo chini. Ila kama zipo juu kutumia masaa manne ni matumizi mabaya ya mafuta
Miss u bibi [emoji7][emoji7][emoji6]
Ni wapi hapa?Na jioni nikafikia hapa kidogo kuosha macho View attachment 1860180
Aaah kuna 442Km.. uki maintain mwendo wa 100kmh masaa manne na dk kadhaa, ukifanikiwa maintain 150-200kmh.. ushapata majibu 🙂🙂. Nikiwa na SUV nakuwa nachezsa humo humo.. tukianza trip nitakuonesha mfano inavyokuwaga 😎
Nyumbani kwetu, haya magari ya wageni, walikuja kutusalimia. Karibu na wewe home ☺Ni wapi hapa?
Ntakuja usijar,Nyumbani kwetu, haya magari ya wageni, walikuja kutusalimia. Karibu na wewe home [emoji5]
Karibu sana 😊😊Ntakuja usijar,
Nyumbani kwetu, haya magari ya wageni, walikuja kutusalimia. Karibu na wewe home [emoji5]
Ntakuja usijar,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Karibu sana [emoji4][emoji4]
Tafadhali, naomba usije onyesha mifano tukiwa pamoja[emoji3].Aaah kuna 442Km.. uki maintain mwendo wa 100kmh masaa manne na dk kadhaa, ukifanikiwa maintain 150-200kmh.. ushapata majibu [emoji846][emoji846]. Nikiwa na SUV nakuwa nachezsa humo humo.. tukianza trip nitakuonesha mfano inavyokuwaga [emoji41]
Mshituko eeh! Jifunze kubalance mshituko ni mbaya kuwa na emotion za hapo kwa papoBinadamu tunatofautiana.
Nadhani mimi sifai kuwa dereva maana mshtuko hunipata haraka sana na ninapoteza direction.
Wewe mzee wa kutembelea Rim nakuelewa sana[emoji1787]huna haja ya kuhadithia[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka hapa Nam zoom tyuuh.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila watu[emoji3][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaingia kwenye practical mkuu.. acha woga