Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kabla ya hii trip nimesolve taa zote za dashboard.

Check engine ilikuwa kwasababu ya post-cat heated oxygen sensor. Gari ilivyokuwa chini inaonekana ilipiga ardhi pale connector harness ya sensor pakapasuka na waya kukatwa. New sensor nikaclear code kwa kale ka mashine kangu ka $10 check engine haijarudi tena

Fuga zina ujinga mmoja kukiwa na weakness yoyote kwenye braking system ina disable traction control, wanaita VDC (Vehicle Dynamic Control) na kuwasha taa za VDC OFF na SLIP. Ikiwa kwenye hii situation ukikanyaga hovyo linadrift na kuteleza, though its fun [emoji23][emoji23]. Nilicheki pads ziko fresh, kumbe mafuta ya breki yalikuwa nusu - hata sio low. Kujazia mpaka kwenye max taa zikazima after some driving.

Gari ikiwa na clean dashboard inaleta imani kidogo, sio christmas lights kama za wajerumani Cc Extrovert
Hahahahah hizo Taa ni msala kitu kikiwa Fatal ujue inakulaza njiani hio 😂🤣🤣
 
Speed kubwa ni hatari kwenye gari imara hata za kinyonge.
Hatari inapotokea ni rahisi sana kupoteza dira.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah weeee, hamna . Mie nikikusimulia maboko niliyotoa unaweza hisi nilitakiwa nisiwepo.. nacho shukuru huwa sina emotion za papo kwa papo,ila ningekuwaga hivyo huenda ningepasua gari nyingi..
 
Aaah weeee, hamna . Mie nikikusimulia maboko niliyotoa unaweza hisi nilitakiwa nisiwepo.. nacho shukuru huwa sina emotion za papo kwa papo,ila ningekuwaga hivyo huenda ningepasua gari nyingi..
Binadamu tunatofautiana.
Nadhani mimi sifai kuwa dereva maana mshtuko hunipata haraka sana na ninapoteza direction.


Wewe mzee wa kutembelea Rim nakuelewa sana[emoji1787]huna haja ya kuhadithia[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakuta unasema unachelewa na unatumia masaa ma5 hadi ma4.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah kuna 442Km.. uki maintain mwendo wa 100kmh masaa manne na dk kadhaa, ukifanikiwa maintain 150-200kmh.. ushapata majibu 🙂🙂. Nikiwa na SUV nakuwa nachezsa humo humo.. tukianza trip nitakuonesha mfano inavyokuwaga 😎
 
Aaah kuna 442Km.. uki maintain mwendo wa 100kmh masaa manne na dk kadhaa, ukifanikiwa maintain 150-200kmh.. ushapata majibu [emoji846][emoji846]. Nikiwa na SUV nakuwa nachezsa humo humo.. tukianza trip nitakuonesha mfano inavyokuwaga [emoji41]
Tafadhali, naomba usije onyesha mifano tukiwa pamoja[emoji3].

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu tunatofautiana.
Nadhani mimi sifai kuwa dereva maana mshtuko hunipata haraka sana na ninapoteza direction.


Wewe mzee wa kutembelea Rim nakuelewa sana[emoji1787]huna haja ya kuhadithia[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshituko eeh! Jifunze kubalance mshituko ni mbaya kuwa na emotion za hapo kwa papo
 
Back
Top Bottom