Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Siku moja nimekuta tairi imelala pancha. Kuangalia mkunjo wa pancha tairi limejaa cracks balaa. Nikavua yote manne yalikuja na gari.
Hizi cracks tairi ikiwa na upepo huwezi kuziona kabisa na tairi kashata zimejaa kabisa.
Hapo ni aheri kujiwahi maana dah! Tyre za kuja na gari ni very dangerous hasa kwa gari zetu hizi za 10 years ago!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…