Sina Shaka wadau wengi wa Road trip wanao fika hili eneo itakua tumeonana ila tu hatujuani haha...muwe makini mkishapata ugimbi wengi mnaingiaga barabarani hovyo nahiyo ni barabara kubwa mbaya sana usiku magari yanafunguka kutoka kwenye mataa na kutokea kisasa.
Wanaosafiri wote ni matajiri ila si matajiri wote wana hobby ya kusafiri.Kusafiri sio utajiri ni hoby tu, so ukigundua unapenda kusafiri unajipanga walau kwa mwaka usafiri mara moja hata kwa siku 15 mdogomdogo hata usiende kutalii basi uwe unabadili mazingira, hata ukila nyama choma inatosha kabisa kikubwa mind yako inarelax
Mh 😳Wanaosafiri wote ni matajiri ila si matajiri wote wana hobby ya kusafiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui za TRC ila TZR wanajitahidi vibe kama lote hasa mkikutana kwa buffetUsafiri wa train enzi hizo.. sijui siku hizi
Wanaosafiri wote ni matajiri ila si matajiri wote wana hobby ya kusafiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Namsaidia 'sio kweli.
Huwezi shindwa kama ni hobby. Ila ukiweka upare mbele? unashindwa vizuri.Kwa mfano kuna tours company nyingi zinakuaga na offer kila mwisho wa mwaka, ukiangalia ni bei ndogo kwenda labda Ruaha, au hata kitulo ukashangae maua au uende Rubondo ukachome samaki fresh achana na habari ya roadtrip kweli ukijipanga unashindwa hata hiyo?
Ni hobby tu si utajiri
Ndiyo maana nimesema wanaosafiri wote ni matajiri japo si matajiri wote wenye hobby ya kusafiri.Ni hobby tu si utajiri
Huwezi shindwa kama ni hobby. Ila ukiweka upare mbele? unashindwa vizuri.
Kuna watu hata mlo tu wanaunga,unadhani wanaweza kupata nguvu za kuunga kusafiri?Mara ya kwanza ilikua 2004 pale Babati nilikutana na binti wa kicanada wakuitwa Clara, katika story alikua anaelekea kondoa irangi, sasa akanieleza amesave miaka 11 kuja kutembelea Afrika na Tanzania ilikua nchi ya mwisho then arudi kwao, Binafsi nilijifunza kumbe tatizo kubwa laweza kua saving inakua mtihani, lakini pia malengo, tunatofautiana Binafsi napenda safari na nisiposafiri naugua kabisa upweke, na sina kitu naungaunga tu kibishi kama hivo
Kusafiri ni hobby si utajiri.Ndiyo maana nimesema wanaosafiri wote ni matajiri japo si matajiri wote wenye hobby ya kusafiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Kujiendea Kama bata"Hapo ndio hua tunafeli lakini hoby na kuchagua vipaumbele ndio maana nchi za watu wanasomo kabisa linaitwa Life Choice, sasa ukijiendea kama bata haijalishi unazo au hauna usiku unakukuta bado uko njiani na safari bado
Tunarudi kule kwenye priorities.Kuna watu hata mlo tu wanaunga,unadhani wanaweza kupata nguvu za kuunga kusafiri?
Sent using Jamii Forums mobile app