Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kuna hobby halafu kuna uwezo wa kutimiza hobby zako! Kuna baadhi ya hobbies ni expensive 😅...Hasa hizi za travelling!

Hobbies zinakuwa backed up na disposable income uliyo nayo ambayo unaweza kuielekeza huko! Ishu ni uchumi tu kama hauko stable utabakia unatamani tu.
Kwanini ubaki kutamani tu, unatafuta mkuu
 
Binadamu anatakiwa kula mara tatu kwa siku ila mie nilikuwa nakula mara moja tu

Kuhusu kulala nilikuwa naishi kwa shemeji na nguo ninazo chache ambazo ni kauka nikuvae

Sex siyo hitaji muhimu kwa binadamu mahitaji muhimu ni yale ambayo binadamu akiyakosa anakufa
🤩🤩🤩🤩🤩 nilikuwa naisubiria hii response tu came out as expected!
 
Weee Sex isn't an essential thing. It's GOOD 🙈🙈 but sio hitaji muhimu kwa binadamu labda kwa wanandoa. Napo ni 50/50 tu.
It might not be an essential thing when you have free & full access to it or when you have issues with your reproductive system!

Wanandoa ni binaadamu pia kama walivyo ma bachela...,kimsingi sex imebeba mbegu ya uhai na ndio maana Mungu alisihi tuenende tukaujaze ulimwengu. The fact is so straight ila limitations tunajiwekea sisi binadamu wenyewe.

Too sad kuona wadada mnaidharau hii kitu mbele ya kadamnasi ila mnaitekeleza mafichoni😌ni huzuni!
 
Haifahamu njaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ile njaa ya kutokujitakia.


Halafu uzi wetu wa kilo 60 sijui umefutwa[emoji1745]

Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa inauma vibaya sana ukiwa huna hata 100 mbovu akili inafikiria sana unapagawa, ila uwe na laki tu imeninginia mfuko wa shati unaweza ukashindia maji na pakti la karanga hata siku 3 wala husikii chochote 😅😅😅!

Ile satisfaction guarantee kwamba naweza nikala chochote nachojiskia anytime from now basi na njaa nayo inapotea kabisa..
 
Hebu acha kuhalalisha vitu ambavyo sio muhimu kwa binadamu.

Wewe ni wa tofauti sana. Sex over food uchague sex kweli? Utaperform vipi na njaa? We huijui njaa nina uhakika.
Ukizungumzia priorities it begins with food then sex! Ndio maana ukila ukashiba vizuri ukiwa na mjanja wako Geroo lazma mtabanjuana tu 😂 maana after sometime wese lina accumulate.
 
Huwezi kuwa tajiri it depends pia unasafiri in expense ya nani? You must have a budget for that right?
Hahaaa mkuu huu mjadala ulileta mabishano yasiyo na kichwa wala miguu kwa siku mbili mfululizo

Tusije tukajikuta tunarudi tena huko maana tulishayamaliza

Sema nini nakukubali sana mwanangu haunaga makuu
 
Hahaaa mkuu huu mjadala ulileta mabishano yasiyo na kichwa wala miguu kwa siku mbili mfululizo

Tusije tukajikuta tunarudi tena huko maana tulishayamaliza

Sema nini nakukubali sana mwanangu haunaga makuu
Pamoja sana mrembo wangu wa pekee jf nzima😻...I hope ipo siku isiyo na jina tutakaa mahali tuwekane sawa!
 
Aisee nimeiwaza ile scirocco mzee ni hatari! Nimeona kuna page imepostiwa 37M nafikiri ilikuwa kabla haijatiwa kambani na mjuba!
Jamaa aliigazi mwenyewe, ila wadau wakawa wame i mind kuipandia cha juu.. jana ningekuwa sina michakato ningeteremka nae dodoma.. ningewanyoosha watu 😀 😀 😀
 
Jamaa aliigazi mwenyewe, ila wadau wakawa wame i mind kuipandia cha juu.. jana ningekuwa sina michakato ningeteremka nae dodoma.. ningewanyoosha watu 😀 😀 😀
Kumbe wahuni ndio walifika bei,ile kitu mang’anyu sana yani! Take off inahitaji u fasten seatbelt kabisa maana unaweza ukawa unapaa ukiwa ground level😅 yani manouver zake ningekuwa naomba tu ->> kisha naipa moto mara shwaa nimekata semi 3 chap!😅😅😅
 
Back
Top Bottom