Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Wanaostahili kupigwa faini hii nadhani ujumbe umewafikia...[emoji4][emoji38][emoji38]Naunga mkono hoja. Hawa wachafuzi wa uzi wapigwe 'ndamlo' ndipo msamaha upite... wese Lita 5 impate kila mwenye mkoko kwenye uzi huu.
Kwa wenzagu na mie wenye baiskeli, tupewe sneaker CONVERSE pair moja moja 'tukaoshee' kitaa na bike zetu... [emoji41]View attachment 1873830
-Kaveli-