Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Hahaaa hapo kwenye urembo nitoe tu mkuu wengine tuna sura za baba zetu jf kuna warembo hatariPamoja sana mrembo wangu wa pekee jf nzima[emoji76]...I hope ipo siku isiyo na jina tutakaa mahali tuwekane sawa!
I hope hii kuwekana sawa haitahusisha yale mambo ya kimasihara hahaaa maana daah kaka zetu ninyi hamchelewi
Pamoja sana mkuu