Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Kwanini ubaki kutamani tu, unatafuta mkuuKuna hobby halafu kuna uwezo wa kutimiza hobby zako! Kuna baadhi ya hobbies ni expensive ๐ ...Hasa hizi za travelling!
Hobbies zinakuwa backed up na disposable income uliyo nayo ambayo unaweza kuielekeza huko! Ishu ni uchumi tu kama hauko stable utabakia unatamani tu.
Ndio kutafuta inageuka hobby sasa๐ ๐ ๐Kwanini ubaki kutamani tu, unatafuta mkuu
Leo ngoja nipige trip za dar tu, nitafute chaka zurii nitulieNdio kutafuta inageuka hobby sasa๐ ๐ ๐
Hahahahah inabidi uende Mkuranga huko utafte chimbo au KigamboniLeo ngoja nipige trip za dar tu, nitafute chaka zurii nitulie
๐คฉ๐คฉ๐คฉ๐คฉ๐คฉ nilikuwa naisubiria hii response tu came out as expected!Binadamu anatakiwa kula mara tatu kwa siku ila mie nilikuwa nakula mara moja tu
Kuhusu kulala nilikuwa naishi kwa shemeji na nguo ninazo chache ambazo ni kauka nikuvae
Sex siyo hitaji muhimu kwa binadamu mahitaji muhimu ni yale ambayo binadamu akiyakosa anakufa
It might not be an essential thing when you have free & full access to it or when you have issues with your reproductive system!Weee Sex isn't an essential thing. It's GOOD ๐๐ but sio hitaji muhimu kwa binadamu labda kwa wanandoa. Napo ni 50/50 tu.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Unaijua njaa lakini?
Tusijekuwa tunaongea na mtu asiyeijua njaa.
Njaa inauma vibaya sana ukiwa huna hata 100 mbovu akili inafikiria sana unapagawa, ila uwe na laki tu imeninginia mfuko wa shati unaweza ukashindia maji na pakti la karanga hata siku 3 wala husikii chochote ๐ ๐ ๐ !Haifahamu njaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ile njaa ya kutokujitakia.
Halafu uzi wetu wa kilo 60 sijui umefutwa[emoji1745]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha wale walimu wa Kenya waliopigana mapanga kisa toto la field ๐ ๐ ๐ aisee achana na kile kitu chenye utelezi!Huijui SEX wewe, watu wanapiga hadi mapanga wazazi wao kwa ajiri ya hiyo kitu
๐๐๐๐ Malaika wenyewe walielewa utamu wa hii kitu hadi wa kaanza kupiga binadamu.. alafu mtu from nowhere unafananisha na machakulaUmenikumbusha wale walimu wa Kenya waliopigana mapanga kisa toto la field ๐ ๐ ๐ aisee achana na kile kitu chenye utelezi!
Hawa hawajakutana na pepsi big inayo mwaga moto kama scirocco ๐ ๐ ๐๐คฉ๐คฉ๐คฉ๐คฉ๐คฉ nilikuwa naisubiria hii response tu came out as expected!
Ukizungumzia priorities it begins with food then sex! Ndio maana ukila ukashiba vizuri ukiwa na mjanja wako Geroo lazma mtabanjuana tu ๐ maana after sometime wese lina accumulate.Hebu acha kuhalalisha vitu ambavyo sio muhimu kwa binadamu.
Wewe ni wa tofauti sana. Sex over food uchague sex kweli? Utaperform vipi na njaa? We huijui njaa nina uhakika.
Hahaaa mkuu huu mjadala ulileta mabishano yasiyo na kichwa wala miguu kwa siku mbili mfululizoHuwezi kuwa tajiri it depends pia unasafiri in expense ya nani? You must have a budget for that right?
Aisee nimeiwaza ile scirocco mzee ni hatari! Nimeona kuna page imepostiwa 37M nafikiri ilikuwa kabla haijatiwa kambani na mjuba!Hawa hawajakuta na pepsi big inayo mwaga moto kama scirocco ๐ ๐ ๐
Pamoja sana mrembo wangu wa pekee jf nzima๐ป...I hope ipo siku isiyo na jina tutakaa mahali tuwekane sawa!Hahaaa mkuu huu mjadala ulileta mabishano yasiyo na kichwa wala miguu kwa siku mbili mfululizo
Tusije tukajikuta tunarudi tena huko maana tulishayamaliza
Sema nini nakukubali sana mwanangu haunaga makuu
Jamaa aliigazi mwenyewe, ila wadau wakawa wame i mind kuipandia cha juu.. jana ningekuwa sina michakato ningeteremka nae dodoma.. ningewanyoosha watu ๐ ๐ ๐Aisee nimeiwaza ile scirocco mzee ni hatari! Nimeona kuna page imepostiwa 37M nafikiri ilikuwa kabla haijatiwa kambani na mjuba!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956] nilikuwa naisubiria hii response tu came out as expected!
Kumbe wahuni ndio walifika bei,ile kitu mangโanyu sana yani! Take off inahitaji u fasten seatbelt kabisa maana unaweza ukawa unapaa ukiwa ground level๐ yani manouver zake ningekuwa naomba tu ->> kisha naipa moto mara shwaa nimekata semi 3 chap!๐ ๐ ๐Jamaa aliigazi mwenyewe, ila wadau wakawa wame i mind kuipandia cha juu.. jana ningekuwa sina michakato ningeteremka nae dodoma.. ningewanyoosha watu ๐ ๐ ๐
Matusi sana kale ka gariKumbe wahuni ndio walifika bei,ile kitu mangโanyu sana yani! Take off inahitaji u fasten seatbelt kabisa maana unaweza ukawa unapaa ukiwa ground level๐ yani manouver zake ningekuwa naomba tu ->> kisha naipa moto mara shwaa nimekata semi 3 chap!๐ ๐ ๐