[emoji23][emoji23]ntakupeleka na kwa tall pale NBCkitimoto kwa singida nilikuwa napenda kupigia kule masai kuna ka pub sijui kanaitwa vila jamaa wanajitahidi sana kuitengeza kiufundi.. alafu mbuzi utaho mnadani tunashusha mbuzi mnachoma mnakula hadi mnachoka na miedomo yenu
Njia za Kusini raha sana, trafiki wachache ni kama hawapo tu, maana hata ukiwakaraibia hawana muda na weweAsante mkuu, vibao vinafuatwa kwa umakini sana.View attachment 1883772View attachment 1883772View attachment 1883790
View attachment 1883789
Yale maeneo huwa siyapendi sana, najulikana na wengi ile mitaa.. nakuwa sina tena faragha tena 😀😀😀[emoji23][emoji23]ntakupeleka na kwa tall pale NBC
Ni kama tabora, njia ambayo wanoko sana dar to morogoroNjia za Kusini raha sana, trafiki wachache ni kama hawapo tu, maana hata ukiwakaraibia hawana muda na wewe
Nakuona umepiga route kwa kina njomba nchumaliAsante mkuu, vibao vinafuatwa kwa umakini sana.View attachment 1883772View attachment 1883772View attachment 1883790
View attachment 1883789
Umesomeka mkuu, wee panakuhusu kule uhasibu ukashangae na twiga[emoji23][emoji23][emoji23]Yale maeneo huwa siyapendi sana, najulikana na wengi ile mitaa.. nakuwa sina tena faragha tena 😀😀😀
Yeah nimepita mitaa yao.Nakuona umepiga route kwa kina njomba nchumali
Halafu namba moja alikataza suala la trafk kutumia fine kama kutunisha mfuko wa serikali.Hayo mambo ya Msata ~ Segera, muhimu sana kucheza na kibao cha upande wa pili pia. Ukiona upande wa pili kuna kibao cha duara af kwako kushoto hakipo tupia jicho, unakuta mwenzio ndio anaruhusiwa kuamsha sasa 50 imeisha wakati kwako hola he he he akili kumkichwa ukikaza fuvu umeliwa kichwa
Safari njema mkuu... kanyaga chuma hiyo ikohoe carbon yote ya mjiniWazeee kesho namwaga moto Dar to Nzega .... mshine crown athelete imekula service ya maana niko tayari kuzihesabu Km 800+
Enjoy mzeeUsiku mwema mkuu. Ngoja nami nilale nna km 400+ za kukimbiza upepo asubuhi kesho.
Kwani ni tatizo wandugu? Asijali limiter ipo akifikia limiter ndio alegeze mguuSafari njema. Uwe unatupa macho mara kwa mara kwenye speedometer maanake ukijisahau utaenda 180kph bila kujua.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani ni tatizo wandugu? Asijali limiter ipo akifikia limiter ndio alegeze mguu
Ni kama tabora, njia ambayo wanoko sana dar to morogoro
Kweli mkuu...wanakera sana..Dar Pwani Tanga Morogoro hakuna traffic kama wa Moshi - Arusha.
Ukitoka Njia Panda Himo mpaka Arusha unakutana na trafic wengi kuliko idadi ya vituo.
Kweli kbs wanakaa mafungu mafungu hilo eneo napenda nipite kabda hakujakuchwa kukwepa iyo kero maana kosa 1 rushwa wanataka nusu ya fine wehu wale, trafic wengine chenga wapo shy ukitoboa unabahati!Dar Pwani Tanga Morogoro hakuna traffic kama wa Moshi - Arusha.
Ukitoka Njia Panda Himo mpaka Arusha unakutana na trafic wengi kuliko idadi ya vituo.
Kawaida tu sometimes ht upepo hubadili mwelekeo[emoji848]Uzi poa sana huu ila naona hapo katikati thread imekua ya kireee ni mwendo wa story za kutiana tu.
Ha ha! All Volvos from 2015 come in 2LOnly milk comes in 2L [emoji1787][emoji1787][emoji1787]