Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa Road Trips kwema?

Wale wanaokula vichwa safari za mkoa, pamoja na vichwa wenyewe;

Twenzao ni app inayowaunganisha madereva, wenye magari na wasafiri wanaoenda mwelekeo mmoja ndani ya Tz.

Kutokana na hali ilivyo kwa sasa, haina haja tena ya ku-risk usalama wako, afya yako kwa kujazana kwenye mabasi, kushindwa kufanya safari zako jinsi unavyotaka wewe, au kufarakana na madalali.

Utaweza kufahamiana na wasafiri wengine kabla ya safari, kujua tabia zao (mfano, wengine hawapendi kusafiri pamoja na wavutaji sigara), ku-negotiate nauli (Twenzao inapendekeza tu, kwa hiyo unaweza kupunguza au kuongeza kulingana na makubaliano yenu), ku-rate dereva na abiria mwisho wa safari, na walio tishio kwa usalama watakuwa blacklisted.

Pia, kuna option kwa wanawake walio comfortable zaidi kusafiri na wanawake wenzao (ladies only).

Unaweza kuipakua hapa.

Karibuni, Asanteni.
 
Wazee wa Road Trips kwema?

Wale wanaokula vichwa safari za mkoa, pamoja na vichwa wenyewe;

Twenzao ni app inayowaunganisha madereva, wenye magari na wasafiri wanaoenda mwelekeo mmoja ndani ya Tz.

Kutokana na hali ilivyo kwa sasa, haina haja tena ya ku-risk usalama wako, afya yako kwa kujazana kwenye mabasi, kushindwa kufanya safari zako jinsi unavyotaka wewe, au kufarakana na madalali.

Utaweza kufahamiana na wasafiri wengine kabla ya safari, kujua tabia zao (mfano, wengine hawapendi kusafiri pamoja na wavutaji sigara), ku-negotiate nauli (Twenzao inapendekeza tu, kwa hiyo unaweza kupunguza au kuongeza kulingana na makubaliano yenu), ku-rate dereva na abiria mwisho wa safari, na walio tishio kwa usalama watakuwa blacklisted.

Pia, kuna option kwa wanawake walio comfortable zaidi kusafiri na wanawake wenzao (ladies only).

Unaweza kuipakua hapa.

Karibuni, Asanteni.
Interesting
 
Hizo figures huwezi zipata under normal driving conditions.

Sijawahi kumiliki wala kuendesha.

Ila reviews nyingi zinawalalamikia Volvo kwa hiyo engine ilivyo.

At 5000 rpm unaweza pata mpaka 25l/100km.
Oh okay. Kwahio at 5000rpm ndio normal driving condition? Boss hio gari ina fuel consumption ya kawaida. Na Kwa taarifa yako hizo figure ni Kwa normal driving labda kwako ambapo normal driving ni 5000rpm.
 
Wazee wa Road Trips kwema?

Wale wanaokula vichwa safari za mkoa, pamoja na vichwa wenyewe;

Twenzao ni app inayowaunganisha madereva, wenye magari na wasafiri wanaoenda mwelekeo mmoja ndani ya Tz.

Kutokana na hali ilivyo kwa sasa, haina haja tena ya ku-risk usalama wako, afya yako kwa kujazana kwenye mabasi, kushindwa kufanya safari zako jinsi unavyotaka wewe, au kufarakana na madalali.

Utaweza kufahamiana na wasafiri wengine kabla ya safari, kujua tabia zao (mfano, wengine hawapendi kusafiri pamoja na wavutaji sigara), ku-negotiate nauli (Twenzao inapendekeza tu, kwa hiyo unaweza kupunguza au kuongeza kulingana na makubaliano yenu), ku-rate dereva na abiria mwisho wa safari, na walio tishio kwa usalama watakuwa blacklisted.

Pia, kuna option kwa wanawake walio comfortable zaidi kusafiri na wanawake wenzao (ladies only).

Unaweza kuipakua hapa.

Karibuni, Asanteni.
Ukiwa na cash kubeba abiria ni usumbufu wanajifanya wamekukodi
 
Wazee wa Road Trips kwema?

Wale wanaokula vichwa safari za mkoa, pamoja na vichwa wenyewe;

Twenzao ni app inayowaunganisha madereva, wenye magari na wasafiri wanaoenda mwelekeo mmoja ndani ya Tz.

Kutokana na hali ilivyo kwa sasa, haina haja tena ya ku-risk usalama wako, afya yako kwa kujazana kwenye mabasi, kushindwa kufanya safari zako jinsi unavyotaka wewe, au kufarakana na madalali.

Utaweza kufahamiana na wasafiri wengine kabla ya safari, kujua tabia zao (mfano, wengine hawapendi kusafiri pamoja na wavutaji sigara), ku-negotiate nauli (Twenzao inapendekeza tu, kwa hiyo unaweza kupunguza au kuongeza kulingana na makubaliano yenu), ku-rate dereva na abiria mwisho wa safari, na walio tishio kwa usalama watakuwa blacklisted.

Pia, kuna option kwa wanawake walio comfortable zaidi kusafiri na wanawake wenzao (ladies only).

Unaweza kuipakua hapa.

Karibuni, Asanteni.
Kupakia vichwa huwa kama ka utumwa, unakosa uhuru..
 
JamiiForums1180603266.jpg
 
Back
Top Bottom