kama utapita Cate kupata gahawa mkubaliane mapema tu, msizinguane. inawezekana ukawa umebeba cafephile mwenzio.Na inabidi uwe mpole, umekula pesa yao asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama utapita Cate kupata gahawa mkubaliane mapema tu, msizinguane. inawezekana ukawa umebeba cafephile mwenzio.Na inabidi uwe mpole, umekula pesa yao asee
Kubeba mtu ambae humjui ni mtihani, nje ya hapo huwa napenda kuwa mwenyewe kwenye gari nakuwa huru sana mambo ya kula vichwa yana hitaji uzoefukama utapita Cate kupata gahawa mkubaliane mapema tu, msizinguane. inawezekana ukawa umebeba cafephile mwenzio.
Nitaenda pale wanapolia vichwa niongee na wale jamaa wanitafutie kisuu kimoja kikalii nile kichwa siku inayofata.. wanakiandaa kabisaa mapemaani kweli, japo wapo wanaopenda company hata kama ni kichwa kimoja.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nitaenda pale wanapolia vichwa niongee na wale jamaa wanitafutie kisuu kimoja kikalii nile kichwa siku inayofata.. wanakiandaa kabisaa mapemaa
Sasa wewe una malengo yako zaidi ya kutoa usafiri.Nitaenda pale wanapolia vichwa niongee na wale jamaa wanitafutie kisuu kimoja kikalii nile kichwa siku inayofata.. wanakiandaa kabisaa mapemaa
Nitaenda pale wanapolia vichwa niongee na wale jamaa wanitafutie kisuu kimoja kikalii nile kichwa siku inayofata.. wanakiandaa kabisaa mapemaa
Mimi ni mwiko kubeba abiria siwei fanya hio kitu. Niko radhi niwe peke yangu one man army. siwezi kubeba mtu safari ndefu simjui. Never.Ukiwa na cash kubeba abiria ni usumbufu wanajifanya wamekukodi
EE bwana, mambo mazuri matamu yanahitaji kuandaliwa piaKichwa kinaandaliwa mapeeemaaaa....!!😅😅
Huku kisu /panga/shoka linanolewa...
Muhimu kuwa na plan B..Sasa wewe una malengo yako zaidi ya kutoa usafiri.
Punguza speed kaka hujabeba gunia za carrot humu...Kupakia vichwa huwa kama ka utumwa, unakosa uhuru..
Wewe ni abiria mzoefu?!Punguza speed kaka hujabeba gunia za carrot humu...
Punguza sauti ya radio/ mziki
Washa AC jamani joto litatua
Fungeni vioo upepo unatuumiza
Kama nyimbo zako zenyewe ndio hizo zima Bluetooth yako niwashe hii yangu.
Tunasimama wapi kula jamani we kaka njaa zinauma
Pale Himo hawana vyakula vizuri bana tafuta sehemu nyingine
Tunakula nusu saa na kupumzika. Usituwahishe sana
Nk nk 😂
Kijiji gani mkuu? Vijiji ninavyovijua mimi na shower gel? 😂Mambo ya kuelekea kijijini hayo lazima uwe full - mashower gel, manukato na kadhalika hutakiwi kumbwelambwela gari lazima iwe full
View attachment 1889383
View attachment 1889384
Tena huwa ni risk sana sema sisi wabongo wabishi tu mfano akiwa na unga au bange ni kwamba gari yako inataifishwa na wewe unaingia kwenye matatizoMimi ni mwiko kubeba abiria siwei fanya hio kitu. Niko radhi niwe peke yangu one man army. siwezi kubeba mtu safari ndefu simjui. Never.
🤣🤣🤣 Nimewanukuu abiria wenzangu, me uwa najinyamazia mpaka niongeleshwe.Wewe ni abiria mzoefu?!
Naimani kichwa ukiwa wewe.. hutofanya hayaPunguza speed kaka hujabeba gunia za carrot humu...
Punguza sauti ya radio/ mziki
Washa AC jamani joto litatuua
Fungeni vioo upepo unatuumiza
Kama nyimbo zako zenyewe ndio hizo zima Bluetooth yako niwashe hii yangu.
Tunasimama wapi kula jamani we kaka njaa zinauma
Pale Himo hawana vyakula vizuri bana tafuta sehemu nyingine
Tunakula nusu saa na kupumzika. Usituwahishe sana
Nk nk 😂
Kuna bro wangu alibeba miamba wana smg kitambo sana kimepita.. ilikuwa mziki wake kuucheza sio kidogo kumchomoa ilikua kijashooTena huwa ni risk sana sema sisi wabongo wabishi tu mfano akiwa na unga au bange ni kwamba gari yako inataifishwa na wewe unaingia kwenye matatizo
raha ya kichwa kivae kimini cha chini ya magoti, kikae mbele pale kwa deree... hapo speed ni 50 t0 80kmh.. 🙃🙃🙃🙃🤣🤣🤣 Nimewanukuu abiria wenzangu, me uwa najinyamazia mpaka niongeleshwe.
Kwanini uwende speed ambayo unatingisha mpaka roho yangu nisiseme?Naimani kichwa ukiwa wewe.. hutofanya haya