Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mambo ya kuelekea kijijini hayo lazima uwe full - mashower gel, manukato na kadhalika hutakiwi kumbwelambwela gari lazima iwe full

CIMG3832.JPG


CIMG3831.JPG
 
Kupakia vichwa huwa kama ka utumwa, unakosa uhuru..
Punguza speed kaka hujabeba gunia za carrot humu...

Punguza sauti ya radio/ mziki

Washa AC jamani joto litatuua

Fungeni vioo upepo unatuumiza

Kama nyimbo zako zenyewe ndio hizo zima Bluetooth yako niwashe hii yangu.

Tunasimama wapi kula jamani we kaka njaa zinauma

Pale Himo hawana vyakula vizuri bana tafuta sehemu nyingine

Tunakula nusu saa na kupumzika. Usituwahishe sana

Nk nk 😂
 
Punguza speed kaka hujabeba gunia za carrot humu...

Punguza sauti ya radio/ mziki

Washa AC jamani joto litatua

Fungeni vioo upepo unatuumiza

Kama nyimbo zako zenyewe ndio hizo zima Bluetooth yako niwashe hii yangu.

Tunasimama wapi kula jamani we kaka njaa zinauma

Pale Himo hawana vyakula vizuri bana tafuta sehemu nyingine

Tunakula nusu saa na kupumzika. Usituwahishe sana

Nk nk 😂
Wewe ni abiria mzoefu?!
 
Punguza speed kaka hujabeba gunia za carrot humu...

Punguza sauti ya radio/ mziki

Washa AC jamani joto litatuua

Fungeni vioo upepo unatuumiza

Kama nyimbo zako zenyewe ndio hizo zima Bluetooth yako niwashe hii yangu.

Tunasimama wapi kula jamani we kaka njaa zinauma

Pale Himo hawana vyakula vizuri bana tafuta sehemu nyingine

Tunakula nusu saa na kupumzika. Usituwahishe sana

Nk nk 😂
Naimani kichwa ukiwa wewe.. hutofanya haya
 
Naimani kichwa ukiwa wewe.. hutofanya haya
Kwanini uwende speed ambayo unatingisha mpaka roho yangu nisiseme?

Uweke taarabu/ singeli nisikwambie ubadilishe nyimbo?

U park gari Kilimanjaro restaurant nisiseme? Wakati unajua pale chakula kawaida sana compared na bei zao

Tulipe hela na AC usiwashe? Yan utulishe vumbi na upepo bila wasi?


Hiiiiiii jamani
 
Back
Top Bottom