Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Madam huwa unapiga mkono mpaka pikipiki kubwa ambazo ni Kwa ajili ya adventure na Racing.hahahaaa mie huwa napiga mkono tu nikiona pikipiki
Hahahaaa hizi hapana Ila natamani Siku moja nipandeMadam huwa unapiga mkono mpaka pikipiki kubwa ambazo ni Kwa ajili ya adventure na Racing.
Kama hizi Kwanza zina muundo wa kipekee, kuanzia umbo mpaka muungurumo.
View attachment 1659617View attachment 1659618
Hahahah wanavizia eeehTraffic nchi nzima wanasimamia sana overtaking mahali ambapo mstari hauruhusu, hata kama ni salama.
Wapiga picha wanakaa haswa kwenye milima, wanajua malori yatakuwa slow nawe utataka kuyapita kwenye mstari ulionyooka. Ukifanya hivyo utakuta picha na cheti chako mbele.
Wana timing ya hatariHahahah wanavizia eeeh
Hizo ni zaidi ya pikipiki ukipanda uta enjoy Sana. Zina utulivu mkubwa kwenye barabara.Hahahaaa hizi hapana Ila natamani Siku moja nipande
Waitu! una ignore pesaaa! hauko serious basi!! Muhaya gani hujui pesaa!! a! Bana? maweee!!!Nishamu-ignore mpuuzi tu
Napenda pace makers, haswa liwe gari la serikali, polisi, jwtz au tiss. Hapo vibao vya 50 ni kuvikata tu.Sometimes ukipata kampani kama hio Raha sana. Anakuwa pace maker wako hamshindani Bali mnafuatana
Gari za Tiss utazijuaje kwa plate numberNapenda pace makers, haswa liwe gari la serikali, polisi, jwtz au tiss. Hapo vibao vya 50 ni kuvikata tu.
Story za Maskini bwana wanawaza tugari gari tuuu!!! kwa nini sasa? shida yooote hiyo? mara ukwepe vichaa!! mara ulale uswahili tyres zote hkn.
Masasi! [emoji23][emoji23][emoji23] ila huwa sipaoni kama route ndefu, ruti ya masaa matano imeisha!!
Gari za serikali zinakuuzia kicheche.Napenda pace makers, haswa liwe gari la serikali, polisi, jwtz au tiss. Hapo vibao vya 50 ni kuvikata tu.
Na mwenyewe unakwenda nao ngadu kwa ngaduUzi wa kudumu huu...road trips watu wanapiga mwaka mzima