ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Off the Road and Into the Wilderness
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Off the Road and Into the WildernessView attachment 1660197
Picha likaishia hapa
View attachment 1660265
Litakuwa ni tatizo la wengi. Na sijui tatizo ni nini hata ?Hivi hili tatizo la jf kugoma kutofungua video ni kwangu tu au na wengine wazee?
Litakuwa ni tatizo la wengi. Na sijui tatizo ni nini hata ?
Dah nipo Chunya huku net ya shida mkuu hata siinjoy. Mwendo wa E tu mwanzo mwisho.Picha likaishia hapa
View attachment 1660265
Pole sana aisee... Nipo hapa viunga inasoma 4G+ 😃😃Dah nipo Chunya huku net ya shida mkuu hata siinjoy. Mwendo wa E tu mwanzo mwisho.
Kwa hiyo unataka nikwambie zinavyojulikana ama?Gari za Tiss utazijuaje kwa plate number
Unajitoa ufahamu tu, na safari inakuwa fupi. Siku moja niliongozana na lori za jeshi kutokea baada ya Chalinze hadi Morogoro. Kulikuwa na foleni balaa, ila wakanisaidia kulikata foleni.Huwa sina ujasiri wa kuwafuata hawa
Inategemea na gari ulionalo. Linaweza kumchanganya traffic police, na ikawa pona yako. Mimi safari ndefu gari natembea nimewasha low beam.Gari za serikali zinakuuzia kicheche.
Nilishawahi zifwata mara nyingi zinaniingiza matatizoni.
Labda awe mshkaji wa kawaida.
Wengi wanalalamika...hata mimi..Hivi hili tatizo la jf kugoma kutofungua video ni kwangu tu au na wengine wazee?
Hivi hili tatizo la jf kugoma kutofungua video ni kwangu tu au na wengine wazee?
Hata Mimi siwez fungua Attachment yoyote, Natumia APPLICATIONWengi wanalalamika...hata mimi..
Si Hata Ambulance unaunga tuu Au [emoji23][emoji23][emoji23]Unajitoa ufahamu tu, na safari inakuwa fupi. Siku moja niliongozana na lori za jeshi kutokea baada ya Chalinze hadi Morogoro. Kulikuwa na foleni balaa, ila wakanisaidia kulikata foleni.
Labda kwa kuwa nipo jijini hivyo inafunguka vizuri tuuHivi hili tatizo la jf kugoma kutofungua video ni kwangu tu au na wengine wazee?
Low beam haisaidii kwa trafik. Kama ulivyosema inategemea gari ulilo naloInategemea na gari ulionalo. Linaweza kumchanganya traffic police, na ikawa pona yako. Mimi safari ndefu gari natembea nimewasha low beam.
Mkuru wange waitu!! Nshomile mpaka no class a head!! nchonka! unyabhire bhabha waitu!!
Unaikara kaa wapi kwansa?? !!! no manyaaa!! chonka a moment nabha ninkugambira bouana but!! sidhani km uko Bongo Land weye? any way km utakuwa nje ya nchi nitashangaa sana kwa kweri tena muun o!!! kama uko! Mwansaa pansiasi kidogo uko sawa, najua kamunyonge hutakanyaga watakuwuwa!
sijui Arusha, Moshi a!aa nitaduwaaa! .. munoo!! hivi uuu wii masifa hamuachagi?? wewe huoni hizi zako ni sifa, mbona mimi na sky lat tuna miliki Beattle za kisasa! umewahi kutusikia?
sasa tena wewe nakuhurumia unaendesha na ridude rimke hapo pembeni rinakuangaria usoni huoni aibu bhabha?!! ukigonga je!
But kama uko, Mugeza, rukunyu, Kanyigo aaaa!!! maweee!! utaingia na bhiratu rasimaa .... ira njoo! nikukopeshe kwa bei nafuu nayo mengi sana!