Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hapana mimi sio demu ila ni hawara wa mama ako chief.
Samahani sina nia mbaya ila naomba kuuliza tu. usiogope. kuuliza si ujinga wahenga walisema. wewe Demu? km demu una miaka mingapi hivi? any way nisikuchoshe

Njoo in Box Mkuu! au km uko Dar rahisi sana fanya hivi nenda moja kwa moja mtaa wa swahili na siku kuu! kunako Hotel y Bakhresa agiza unavo taka Bill kwangu. au Kawe nenda ukwamani pale au ingia tu jeshini mle mpaka sehemu inaitwa Mabatini agiza unavotaka wananijua wote wale vijana!! ukija saa 2 usiku utanikuta pale lazima!

Au Tabata kimanga nenda kwa Mangi polisi Bar, au Mawenzi Bar ile ni yangu kama uko Temeke nenda My wii!! Matako bar wana huduma zote au ukitaka chips nenda paree Masangati! masaa 24 hapo. ukikwama nipigie! wana number zangu wale wote!
 
Back
Top Bottom