Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Madam huwa unapiga mkono mpaka pikipiki kubwa ambazo ni Kwa ajili ya adventure na Racing.
Kama hizi Kwanza zina muundo wa kipekee, kuanzia umbo mpaka muungurumo.
View attachment 1659617View attachment 1659618
Ni kweli.Inategemea na gari ulionalo. Linaweza kumchanganya traffic police, na ikawa pona yako. Mimi safari ndefu gari natembea nimewasha low beam.
Low beam kwa gari zingine siyo low kihivyo! Zile beamer kama za state house, low beam yake si unaijua!Low beam haisaidii kwa trafik. Kama ulivyosema inategemea gari ulilo nalo
We ile yako huuzi? Ukiuza niuzie mimi 😂🏃January na February pia ni muda mzuri wa kununua gari, mtu anatoka kijijini kwao kula xmas, anarudi mjini anakuta Mwenye apartment yake anataka kodi, mwenye ule shule ya Niniliu English Medium naye hacheki anataka ada zake, basi hapo wale wasiofikirisha vichwa, huwa wqnasukuma ndinga kalinsana kwa bei za kutupwa..[emoji125][emoji125][emoji28]
Town lazima ule kibano. Highway ile speed inasaidia, traffic wanakuwa wapole.Ni kweli.
Traffic wanaogopa baadhi ya magari.
Ila hapa mjini nikiwa natanua na hizi STK nabanwa peke angu.
Kweli kabisa. Huyo kama ana mwendo wa hatari, unamwacha aende zake.Tatizo pace maker wa kawaida wengi anafikiri unataka ligi basi anaongeza mwendo!
Unaunga unajida wagonjwa waliopo ndani ya ambulance wanakuhusu..[emoji1][emoji1][emoji38][emoji38][emoji38]Si Hata Ambulance unaunga tuu Au [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa na Nissan patrol yoyote nyeupe, Nissan Hardboard nyeupe, Ford Ranger nyeupe, LX Nyeupe, Mitsubish L200 nyeupe....hapa kidogo unaweza kuwazingua trafiki....Low beam haisaidii kwa trafik. Kama ulivyosema inategemea gari ulilo nalo
Nafuu na wewe umejionea...sijui ni laana ya uchaguzi..Awamu hii ya ngosha, kumetengenezeka mataahira wengi
Kwa kweli ile mpaka ije kuwa vintage..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We ile yako huuzi? Ukiuza niuzie mimi [emoji23][emoji125]
Jiji la mwanz a au?Nashukuru Mungu nimerudi jijini salama. It was nice road trip. Kesho mapambano yanaendelea
Hasa ukiwa na nissan patrol nyeupeUkiwa na Nissan patrol yoyote nyeupe, Nissan Hardboard nyeupe, Ford Ranger nyeupe, LX Nyeupe, Mitsubish L200 nyeupe....hapa kidogo unaweza kuwazingua trafiki....
Lakini passo, vitz and the likes...tuheshimu tu vibao..[emoji729][emoji724][emoji732]️[emoji729]
Samahani sina nia mbaya ila naomba kuuliza tu. usiogope. kuuliza si ujinga wahenga walisema. wewe Demu? km demu una miaka mingapi hivi? any way nisikuchosheTajiri nisaidie buku nitie chochote tumboni hali tete.
😀😀😀 kwanza sijui nimtag Dada ako? Najisikia kufanya hivyo.Kwa kweli ile mpaka ije kuwa vintage..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtagi tu aone tunavyochafuka na oil na grisi huku..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] kwanza sijui nimtag Dada ako? Najisikia kufanya hivyo.
Andaa road trip basi ya E. A road, Nairobi Road, nk. Ila ya E. A iwe ile ya kukunjia [emoji125]Sakina to Njiro
Nitabeba popcorn pamoja na dada etu Lenie
Naomba niwepo kwenye hiyo road trip tasavali.😀😀😀 kwanza sijui nimtag Dada ako? Najisikia kufanya hivyo.
Andaa road trip basi ya E. A road, Nairobi Road, nk. Ila ya E. A iwe ile ya kukunjia 🏃Sakina to Njiro
Nitabeba popcorn pamoja na dada etu Lenie
You are warmly welcome dearest sister..[emoji39][emoji39][emoji39]Naomba niwepo kwenye hiyo road trip tasavali.
Najua nikiwa na nyie watu nitaenjoy na trip itabamba balaa[emoji14]