Mimi mwenyewe siku nikiamua kukaa,hata aje nani sisimami.
Siku Nikiwa na mood ya kupisha nitapisha hata kama siyo zile siti zao .
Juzi kati nilikuwa najisikia hovyo,zile siti tulikaa vijana wote,tena mwingine wa kiume kabisa,
Wakapanda wamama Fulani watu wazima yaani nilikauka hata sikusimama.
Hafu Wana kamtindo,wakipanda wanawaangalia usoni[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi na miwani Yangu na barakoa aisee namimi namuangalia tu.
Ila nilikuwa naumwa.
Nikigeuka pambeni naona yule kaka ameinamia simu [emoji38],naangalia pembeni naona mdada anajidai kusinzia[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Yaani asubuhi ninaweza simama nikampisha Mtu..
Ila jioni wallah sisimami,yaani usimame hadi Mbezi!
Hapana Kwa kweli.
Mtu mwingine palepale gerezani /Mbezi anaona gari imejaa anapanda akitegemea vijana watampisha.
Mimi nikishikwa na huruma sana nitampisha Mtu aliyepanda njiani vituo ambapo gari halianzii na Haiwezekani kupata siti..nje na hapo adabu inipite tu pembeni.