Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Safari njema mwana. Baada ya lusahunga Kati ya Uyovu na Ushirombo Kuna sehemu wanaweka maboga makubwa Sana barabarani. Bei ya kutupa.Baadae wakuu wacha niamshe chuma kinaomba mzigo..
Niitafute nyakahura, lusahunga asubuhi niwe igunga huko..
Kama sio singida
Duuuh, wahurumieni wazeeMimi mwenyewe siku nikiamua kukaa,hata aje nani sisimami.
Siku Nikiwa na mood ya kupisha nitapisha hata kama siyo zile siti zao .
Juzi kati nilikuwa najisikia hovyo,zile siti tulikaa vijana wote,tena mwingine wa kiume kabisa,
Wakapanda wamama Fulani watu wazima yaani nilikauka hata sikusimama.
Hafu Wana kamtindo,wakipanda wanawaangalia usoni[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi na miwani Yangu na barakoa aisee namimi namuangalia tu.
Ila nilikuwa naumwa.
Nikigeuka pambeni naona yule kaka ameinamia simu [emoji38],naangalia pembeni naona mdada anajidai kusinzia[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Yaani asubuhi ninaweza simama nikampisha Mtu..
Ila jioni wallah sisimami,yaani usimame hadi Mbezi!
Hapana Kwa kweli.
Mtu mwingine palepale gerezani /Mbezi anaona gari imejaa anapanda akitegemea vijana watampisha.
Mimi nikishikwa na huruma sana nitampisha Mtu aliyepanda njiani vituo ambapo gari halianzii na Haiwezekani kupata siti..nje na hapo adabu inipite tu pembeni.
Hata sisi ni binadamu mkuu.Duuuh, wahurumieni wazee
Hehe basi ndiyo ukubali kuhenya kwenye madaladala, hadi hapo utakapojichanga ukapata usafiri wako binafsi.Hizo nauli za Uber ukikusanya miaka 2 tayari unapata chombo cha usafiri.
Nyumba haijengwi kwa haraka,inaenda taratibu...
Ni bora mtu akakomboka Kwenye usafiri ili mengine yaendelee.
Siyo wachache kama unavyofikiri mama, wanakuwaga wengi lakini hawafikii idadi ya Wale utitiri ndiyo maana wanasubirishwaga.Hao ni halali yao kusubiri.
Watu unakuta wapo wanne tu mwendokasi lote,halafu Mbezi kuna mafuriko ya abiria na gari ishajaa.
Nunueni ndinga tupige road trip...kujenga ni woga wa maisha!Hehe basi ndiyo ukubali kuhenya kwenye madaladala, hadi hapo utakapojichanga ukapata usafiri wako binafsi.
Kwangu binafsi ujenzi utasubiri sana, na vile mafundi walivyo wezi nitajenga nikipata muda wa kusimamia mwenyewe.
Yaani bora umpishe mtu asubuhi unakuwa bado una Nguvu, ila jioni aisee watu wengi washajichokea kama punda kusimama mtu anaona kama adhabu.Mimi mwenyewe siku nikiamua kukaa,hata aje nani sisimami.
Siku Nikiwa na mood ya kupisha nitapisha hata kama siyo zile siti zao .
Juzi kati nilikuwa najisikia hovyo,zile siti tulikaa vijana wote,tena mwingine wa kiume kabisa,
Wakapanda wamama Fulani watu wazima yaani nilikauka hata sikusimama.
Hafu Wana kamtindo,wakipanda wanawaangalia usoni[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi na miwani Yangu na barakoa aisee namimi namuangalia tu.
Ila nilikuwa naumwa.
Nikigeuka pambeni naona yule kaka ameinamia simu [emoji38],naangalia pembeni naona mdada anajidai kusinzia[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Yaani asubuhi ninaweza simama nikampisha Mtu..
Ila jioni wallah sisimami,yaani usimame hadi Mbezi!
Hapana Kwa kweli.
Mtu mwingine palepale gerezani /Mbezi anaona gari imejaa anapanda akitegemea vijana watampisha.
Mimi nikishikwa na huruma sana nitampisha Mtu aliyepanda njiani vituo ambapo gari halianzii na Haiwezekani kupata siti..nje na hapo adabu inipite tu pembeni.
Aahh usiwanyime Vijana ulichopewa bure, hiyo ni dhambi.Nimeokoka [emoji41] shida ikaanzia hapo [emoji23]
Kweli aise road trip ni muhimu sana, kwa sisi wengine ambao tuna Allergy na kushinda ndani kujenga hakuna uzito sana kwetu maana "kuondoka asubuhi na kurudi usiku" is our motto.Nunueni ndinga tupige road trip...kujenga ni woga wa maisha!
Shalom!Nimeokoka [emoji41] shida ikaanzia hapo [emoji23]
Maboga na wota melonSafari njema mwana. Baada ya lusahunga Kati ya Uyovu na Ushirombo Kuna sehemu wanaweka maboga makubwa Sana barabarani. Bei ya kutupa.
Rock cityHakuna anaenda Stone Town kesho?
Kwenye maungio ndio pabaya dereva akiminya breki lazima uyumbe unakutana na bazazi Bluetooth ipo on anakubambia bila kulipa tozo.[emoji38]
Mimi vituo vyangu ninavyopanda probability ya kupata siti ni kubwa..labda tu niamue mwenyewe kusimama.
Napandia gari linapoanzia route.
Asubuhi huwa nasimama Kwa sababu mbili;
Ili niwahi,sipangi foleni ya kukaa.
Pia ni sehemu ya kufanya mazoezi..maana nisiposimama hapo ndio basi tena hadi jioni.
Na huwa nasimama Sehemu zile zenye maungio ya gari au mwisho wa gari (Kwa magari Yale madogo)..hakuna purukushani za kubambiana.
Fahari ya macho haifilisi duka.Mmhh mguu wote huo wa kuvalia kimini unauficha na madera, wacha kuwakatili Vijana kuona mambo mazuri.
Mbele karibu na dereva sio sehemu salamaKwenye maungio ndio pabaya dereva akiminya breki lazima uyumbe unakutana na bazazi Bluetooth ipo on anakubambia bila kulipa tozo.
Sehemu salama ukakae mbele karibu na dereva.
Wadada wa humu ni wazuri/ visu hatariFahari ya macho haifilisi duka.
Pale kwenye maungio kukiwa na nyomi mtu anakosa pa kujishika, shekhe hawa dada zetu waliojaaaliwa wakikutana na mabazazi mtu anachaji 24V ndani ya sekunde chache mpaka geji inasoma overvoltage.Mbele karibu na dereva sio sehemu salama
Kwenye maungio (jost) ni salama zaidi kwa waliosimama kuliko mahali popote
Tatizo ni pale gari inaponyumbulika mfano kuingia:
city council
fire kutokea ama kuelekea gerezani
Mzunguko wa kimara
Na sasa moroco
Hata wezi hawakugusi
Nimepumzika hedaru hapa
Wamejaliwa neeema haswa, Mimi huwa narejea Sheria za Maabara na kumkumbuka Mwalimu wa form 1 Chemistry.Wadada wa humu ni wazuri/ visu hatari
Wakikutana na kina sie wenye sura na muonekano wa mbaula
Fiat 682 ya vita vya pili vya dunia mkasi juu mkasi chini kumbe ndio spirit kwa magari ya kisasa
Wengi tunaita sprinter[emoji3]
MkuuPale kwenye maungio kukiwa na nyomi mtu anakosa pa kujishika, shekhe hawa dada zetu waliojaaaliwa wakikutana na mabazazi mtu anachaji 24V ndani ya sekunde chache mpaka geji inasoma overvoltage.
Mbele sio salama Kuna siku Pale Fire Junction dereva wa mwendokasi aliforce kupita taa zilikuwa hazifanyi kazi almanusura aipige Eicher ubavu kwa brake za ghafla Alizoshika abiria wa mbele wote walionguka na angekuwa spidi wangetoka na kioo Cha mbele.