Hahahaha.Ndio kwanza nahangaika na tiketi ya treni kweli dunia haina usawa
Unagusa tu, wakaidi hatufaidi paka siku ya idi huwezi jua idi yako ni lini, una force tu kama utakutana na Sulphuric acid aaa! majibu yatapatikana huko hukoWamejaliwa neeema haswa, Mimi huwa narejea Sheria za Maabara na kumkumbuka Mwalimu wa form 1 Chemistry.
Don't touch anything without permission.
Mie huwa nikiingia kwenye daladala cha kwanza nalala hapo hapo huku natazama chini, sitaki shobo..Yaani bora umpishe mtu asubuhi unakuwa bado una Nguvu, ila jioni aisee watu wengi washajichokea kama punda kusimama mtu anaona kama adhabu.
Pale Cate au sio 😀😀😀Ingia kulia utuwakulishe..
Pale Cate au sio 😀😀😀Ingia kulia utuwakulishe..
Huyu atakuwa amekwenda pale flommyEwaaaa....kijiweni
Ingia kulia utuwakulishe..
Mie huwa nikiingia kwenye daladala cha kwanza nalala hapo hapo huku natazama chini, sitaki shobo..
Pale Cate au sio [emoji3][emoji3][emoji3]
Huyu atakuwa amekwenda pale flommy
Wadada wa humu ni wazuri/ visu hatari
Wakikutana na kina sie wenye sura na muonekano wa mbaula
Fiat 682 ya vita vya pili vya dunia mkasi juu mkasi chini kumbe ndio spirit kwa magari ya kisasa
Wengi tunaita sprinter[emoji3]
Wamejaliwa neeema haswa, Mimi huwa narejea Sheria za Maabara na kumkumbuka Mwalimu wa form 1 Chemistry.
Don't touch anything without permission.
Safari yangu imeishia hapahapa moro bado sijapata wasaa wa kuzungukia vijiwe
Nimekaa hapa nawaza niende Moro
Kuna sehemu gani hapo yenye Vibe na screen nichek mechi?!
Njoo sehemu zipo za kutosha mechi ikiisha tunarudi town