Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Mwendo wa ndege then uko huku unajibu comments!!Nimepata kampani ya crown majesta na land Cruiser tx naona sasa tunatembea mwendo wa ndege
Safe driving...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendo wa ndege then uko huku unajibu comments!!Nimepata kampani ya crown majesta na land Cruiser tx naona sasa tunatembea mwendo wa ndege
bado Gari kdogo sijawez Nunua.Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi,marefu na ya Kati. Mwaka huu napiga mikoa ya kaskazini Tanga,Kili na Arusha. Je mwenzangu road trips zako wapi?
Raha ya road trip inabidi uwe na
1. Kampani nzuri (pisi Kali itapendeza)
2. Gari yenye uwezo (nimetoa kitu DVA ndio trip yake ya Kwanza hii)
3. Mfuko uwe na afya kidogo
All in all drive safe and take care
mng'ato
Boeing 747
View attachment 1652044
Mwendo wa ndege then uko huku unajibu comments!!
Safe driving...
AsanteMwendo wa ndege then uko huku unajibu comments!!
Safe driving...
zero brain. Ni wivu tuHuyu kanunua gar yake ya kwanza na lazma ni IST sasa kaja kuvimba humu.
Kweli. Huwa natoka Dar mpaka Lindi bila kupigwa mkono na traffic nikiwa na na Hardbody kanguUkiwa na Nissan patrol yoyote nyeupe, Nissan Hardboard nyeupe, Ford Ranger nyeupe, LX Nyeupe, Mitsubish L200 nyeupe....hapa kidogo unaweza kuwazingua trafiki....
Lakini passo, vitz and the likes...tuheshimu tu vibao..[emoji729][emoji724][emoji732]️[emoji729]
Watu kama hawa huwa wanachafua uzi tu...hawana jipyaHao wale wenye IDs mbili mbili moja special for hating.
Bara bara gani Tz unaendesha mwanzo mwisho 200kph..?Raha sana mm huwa nazunguka nchi nzima alafu unakuwa na ndinga moja very powerful yaani full speed hivi vi ist unavipita tuu kama kuku wa a kizungu anyejifunza kukimbia yaa mwanzo mwisho speed 200 km/hrs
East Africa road 😉Bara bara gani Tz unaendesha mwanzo mwisho 200kph..?
Tukikutana barabarani na hiyo sijui v8 yako ndio utajua kuwa Tz kuna gari zinakimbiaBara bara gani Tz unaendesha mwanzo mwisho 200kph..?
Hujakutana na gari za speed wewe ,siku ukikutana nazo utakuja tena kuanandika hapa ,ila kwa ki uanzia wewe tuna kupa harier natako ya nyani iliyo fanyiwa tunning ,sasa wewe na katoyota gani kago sijui fuata uone kama u yet arudi au utabaki njiani unabadikisha engine.Bara bara gani Tz unaendesha mwanzo mwisho 200kph..?
Si bora wewe mm kuna siku nilikua na range nikaunga msafara wa naibu waziri flani ilikua nigatari si unajua yale mavx huwa yanapiga double harzad tuu.Aisee!