Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ningepata lift ya kuja mbeya [emoji1751]Pole Sana, kwa ushatoka Mbeya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningepata lift ya kuja mbeya [emoji1751]Pole Sana, kwa ushatoka Mbeya?
Wa buses hadi gari ndogo hawajali! On my way back ilibidi niingie pembeni kupisha Abood kipande cha Same-HedaruMashine ya ukweli sana...sema tu ndiyo hivyo huku kwetu madereva wa mabasi na fuso wanadharau sana waendesha bike....hawachelewi kukukalisha..
Hakuna watu wanakera kama mabasi ya mkoani. Kuna siku tuko na mama yangu na mamadogo anaendesha asubuhi kuelekea shamba mlandizi. Ubaya tulitooa muda mbaya na mabasi ya mkoa. Kulikua na tilisho nyuma na esther wanachuana... unajua panic? Mpk mamdogo wangu alishindwa control gari na ikazimika katikati kwa zile honi na fujo zao. Dereva akajua hapa mwanamama keshaloose confidence akatulia. Akawasha gari akapark lwanza kwa dk kadhaa arelax. Yaan wanakupatisha ajali unajina hawa waleviWa buses hadi gari ndogo hawajali! On my way back ilibidi niingie pembeni kupisha Abood kipande cha Same-Hedaru
Wasumbufu sana,nilijiuliza sasa ina maana kungekuwa hamna nafasi pembeni ndio angenigonga?!!Hakuna watu wanakera kama mabasi ya mkoani. Kuna siku tuko na mama yangu na mamadogo anaendesha asubuhi kuelekea shamba mlandizi. Ubaya tulitooa muda mbaya na mabasi ya mkoa. Kulikua na tilisho nyuma na esther wanachuana... unajua panic? Mpk mamdogo wangu alishindwa control gari na ikazimika katikati kwa zile honi na fujo zao. Dereva akajua hapa mwanamama keshaloose confidence akatulia. Akawasha gari akapark lwanza kwa dk kadhaa arelax. Yaan wanakupatisha ajali unajina hawa walevi
Pole sana mkuu. Na hapo abiria wangeungana na dereva kama wale waliompiga wa fuso wakaishia kuwekwa ndani. Ngoja nikupe siri sasa. Asubuhi unawakuta hawa madereva na maji makubwa lakini ukweli si maji ni konyagi na kvant. Wanapiga ule muda wa kuanza safari. Unaelewa vzr mtu akishajilipua anaona kama hatembei kwahiyo anakua ni kufanya extra mbinu ili apite wengine kuwahi abiria wa mbezi na vituo vya mbele. Kukugonga dk 0 tu hawaWasumbufu sana,nilijiuliza sasa ina maana kungekuwa hamna nafasi pembeni ndio angenigonga?!!
Kwa wanayoyafanya barabarani naweza kuamini hizo chupa zina konyagi au k vant.Pole sana mkuu. Na hapo abiria wangeungana na dereva kama wale waliompiga wa fuso wakaishia kuwekwa ndani. Ngoja nikupe siri sasa. Asubuhi unawakuta hawa madereva na maji makubwa lakini ukweli si maji ni konyagi na kvant. Wanapiga ule muda wa kuanza safari. Unaelewa vzr mtu akishajilipua anaona kama hatembei kwahiyo anakua ni kufanya extra mbinu ili apite wengine kuwahi abiria wa mbezi na vituo vya mbele. Kukugonga dk 0 tu hawa
Hapo ungempokea usukani, si unajua umri tena?Hakuna watu wanakera kama mabasi ya mkoani. Kuna siku tuko na mama yangu na mamadogo anaendesha asubuhi kuelekea shamba mlandizi. Ubaya tulitooa muda mbaya na mabasi ya mkoa. Kulikua na tilisho nyuma na esther wanachuana... unajua panic? Mpk mamdogo wangu alishindwa control gari na ikazimika katikati kwa zile honi na fujo zao. Dereva akajua hapa mwanamama keshaloose confidence akatulia. Akawasha gari akapark lwanza kwa dk kadhaa arelax. Yaan wanakupatisha ajali unajina hawa walevi
Afu hazina humpsTutaenda kutest huko..[emoji1][emoji1]
Ndo ukweli. Biashara za jamaa zetu hizo. Kama Abood unayemsemea huwa wanabet... huwa yanaachiwa mawili mawili anayefila dar sijui saa 1 ama 2 nimesahau wa kwanza lkn anapewa kamishen. Yaan ufike chaap ili kugeuza. Huwa wanapewa laki kama sikosei ukiwahi wa kwanza. Atakuelewa kitu hapo?Kwa wanayoyafanya barabarani naweza kuamini hizo chupa zina konyagi au k vant.
Hahahahaha unasemaje? Unaujua uoga wangu kweli? Yaani hii barabara ya Morogoro road navyoomba tu hiyo stend ikamilike waende huko mbezi na malory yapelekwe hiyo njia yao sijui ya kutokea mlandizi sijui chalinze wakafie mbali. Sina huo ujasiri mzee baba. Hapo tu nilitoa tumachozi. Si mzee sana bana. She is in her middle 40s.Hapo ungempokea usukani, si unajua umri tena?
yale Mabasi yakishafunguliwa huwa ni mashindano na hata km likakuovertake mpishe tu tena muachie nafasi akae mbele yako unaeza shangaa akapitiliza kuomba nafasi kwingine mbele mradi tu wanafidia ile limitation speed ya 85km ukikomaa na 100speed, km/h unamuacha mbali tu. wakiikuta 50 na wanajua Traffic bado utashangaa wanavyopita, mm namuogopa KISBO
Sometimes tunawalaumu wenye nguo nyeupe ila kwa akili za madereva wa mabasi acha wawe wakali tuNdo ukweli. Biashara za jamaa zetu hizo. Kama Abood unayemsemea huwa wanabet... huwa yanaachiwa mawili mawili anayefila dar sijui saa 1 ama 2 nimesahau wa kwanza lkn anapewa kamishen. Yaan ufike chaap ili kugeuza. Huwa wanapewa laki kama sikosei ukiwahi wa kwanza. Atakuelewa kitu hapo?
Mkuu Kwa hizo bike kubwa dereva wa basi au Fuso lazima akuogope, na hakuna gari itakusogelea kizembe.Mashine ya ukweli sana...sema tu ndiyo hivyo huku kwetu madereva wa mabasi na fuso wanadharau sana waendesha bike....hawachelewi kukukalisha..
Ha ha ha kwamba ungekuwa unaendesha wewe ungezimia kabisaHahahahaha unasemaje? Unaujua uoga wangu kweli? Yaani hii barabara ya Morogoro road navyoomba tu hiyo stend ikamilike waende huko mbezi na malory yapelekwe hiyo njia yao sijui ya kutokea mlandizi sijui chalinze wakafie mbali. Sina huo ujasiri mzee baba. Hapo tu nilitoa tumachozi. Si mzee sana bana. She is in her middle 40s.
Huyo anayetaka kuifanyia tunning Harrier tako la nyani ambayo ni natural aspirated engine anajipotezea muda hatopata performance kubwa.Natural aspirated engines hazinaga tuning ya maana.
Umenena. Na imesaidia sana aiseee. Tatizo kuna mabasi pia utakuta wanaaamsha na wanajuana na hawa real madrid. Wakipita ni upepo tu. Wanajua wanavyonalizanaSometimes tunawalaumu wenye nguo nyeupe ila kwa akili za madereva wa mabasi acha wawe wakali tu
Eeeh.. weeee... nilipanic zaidi ya dereva. Honi za yutong si unazijua lakini? Na hapigi mara moja..anapiga nyingi makusudi ili uzidi kuchanganyikiwa. Ubaya ama uzuri madereva tunawajua. Walijaapoligise. Yalipogeuka kesho yake yakaja kunywa kwenye ofisi yetu[emoji23][emoji23][emoji23] yaan ugomvi unamalizwa kwa pombe. MfieewHa ha ha kwamba ungekuwa unaendesha wewe ungezimia kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23] hapana kipimo hakiwezi kuzidi.Usizidi kipimo tu