Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha aisee!Hujakutana na gari za speed wewe ,siku ukikutana nazo utakuja tena kuanandika hapa ,ila kwa ki uanzia wewe tuna kupa harier natako ya nyani iliyo fanyiwa tunning ,sasa wewe na katoyota gani kago sijui fuata uone kama u yet arudi au utabaki njiani unabadikisha engine.
Usharudi kutoka nchi jirani sasa unaipasua Tz!Naitafuta Mbeya hiyo. View attachment 1661701
Hakikisha unataa nzuri mkuuNaitafuta Mbeya hiyo. View attachment 1661701
Hii tag ndio nimeiona leo aiseee baada ya kutumia web,app hainipi notifications zote aisee.Nimeshangaa na niliku-tag
Hiyo ina 1200 cc na ni boxer engine yenye piston 2. Hiyo nadhani inafika 110 hp hiyo ni zaidi ya gari hata haitumii mnyororo inatumia propela shaftDuuh...Hiyo bike itakuwa na pulling ya kutosha.....Maana hiyo consumption yake haitofautian na gari za cc 1300-1500
Tutaenda kutest huko..[emoji1][emoji1]East Africa road [emoji6]
Sawa..wasalimie hukoHujakutana na gari za speed wewe ,siku ukikutana nazo utakuja tena kuanandika hapa ,ila kwa ki uanzia wewe tuna kupa harier natako ya nyani iliyo fanyiwa tunning ,sasa wewe na katoyota gani kago sijui fuata uone kama u yet arudi au utabaki njiani unabadikisha engine.
Hujachelewa mkuu huu uzi sidhani kama utakufa hivi karibuniHuu uzi sijui hata ulinipitaje aiseee.
Natural aspirated engines hazinaga tuning ya maana.Hujakutana na gari za speed wewe ,siku ukikutana nazo utakuja tena kuanandika hapa ,ila kwa ki uanzia wewe tuna kupa harier natako ya nyani iliyo fanyiwa tunning ,sasa wewe na katoyota gani kago sijui fuata uone kama u yet arudi au utabaki njiani unabadikisha engine.
Me mwenyewe nilipewa tag nikaja kuona uzi umefika coment namba 100+...Hii tag ndio nimeiona leo aiseee baada ya kutumia web,app hainipi notifications zote aisee.
Mashine ya ukweli sana...sema tu ndiyo hivyo huku kwetu madereva wa mabasi na fuso wanadharau sana waendesha bike....hawachelewi kukukalisha..Hiyo ina 1200 cc na ni boxer engine yenye piston 2. Hiyo nadhani inafika 110 hp hiyo ni zaidi ya gari hata haitumii mnyororo inatumia propela shaft
Kweli mkuu,imebidi nipitie kuanzia Comment ya kwanza kabisaa.Hujachelewa mkuu huu uzi sidhani kama utakufa hivi karibuni
Hahaha...uzi unasisimua huu na unatembea... coments sasa ni 1kKweli mkuu,imebidi nipitie kuanzia Comment ya kwanza kabisaa.
Hahah ngoja niupambanie mdogo mdogo mkuu.Hahaha...uzi unasisimua huu na unatembea... coments sasa ni 1k
Huwezi amini nimerudi jana leo napasua mikoa. Mbeya ni moja ya mikoa michache nilikuwa sijafika. Sasa nimebakisha Kigoma kumaliza TZ yoteUsharudi kutoka nchi jirani sasa unaipasua Tz!
Taa za kutosha hapa napiga moja moto moja baridi mikumi. Baada ya hapo hakuna kulalaHakikisha unataa nzuri mkuu
Kumbe ningepata liftNaitafuta Mbeya hiyo. View attachment 1661701
Pole Sana, kwani ushatoka Mbeya?Kumbe ningepata lift