Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kwenye maungio ndio pabaya dereva akiminya breki lazima uyumbe unakutana na bazazi Bluetooth ipo on anakubambia bila kulipa tozo.

Sehemu salama ukakae mbele karibu na dereva.
Penye maungio tunaegemea pembeni mkuu kwenye yale mamikunjo kama kinanda.

Ila kuna siku nilikosa sehemu ya kuegemea ,niliyumba sana hadi kijana mmoja akanipa space nikasimama nikamuegemea japo kwa kujibana.

Hii ndiyo sehemu pekee huwa napenda kusimama..naweza hata kulala usingizi pale ..jinsi yale mavinanda yanavyojikunja na kujikunjua huwa najisikia Raha .
 
Gari likinyumbulika ndio huwa Raha zaidi.
Linawabana pamoja na kuwaachia.

Ni sehemu iliyo stable kwa kusimama.
 
Na ile sehemu mtu huwezi kusimama kama umekosa sehemu ya kujishika au kuegemea.

Mimi huwa najitahidi niwahi niegrlemee yale mamikunjo

Kwahiyo pale hata population yake ni ndogo,hakuna msukumano kama sehemu nyingine.
 
Tanga [emoji3]

Lugha ni kiswahili ila hiyo lahaja si wadada (hawa ndio kinanda) si wanaume hatari!

Nimepishana alfajiri ile na mashabiki wa 'mnyama' gari za abiria kama zote wakielekea Dar

Naelekea zangu nilipotoka nimeshiba grinker

Ila tanga kuna balaa
 
Wanasema Tanga kuna raha kila aendaye harudi, nashangaa kwanini kina RRONDO huwa wanarudi. [emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…