Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Naelewa unachosema vizuri. Lina kila aina ya mtu ila wenzangu na mie ni wengi zaidi. Napenda nidhamu yao wana mazuri mengi zaidi kuliko mapungufu, na mapungufu ni ya mtu binafsi
 
Aahh sijui ni kupanic tu hata sielewi. Anyway mimi siyo mpishi mzuri sana hivyo napata hofu ninapojua kuna mtu anataka kula chakula nilichopika basi nakuwa najiuliza daah sijui nimepatia sijui atakipenda yaani nawazaga kweli aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…