[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku nilikuwa natoka mlandizi kwenda dar.
Nikafika Kongowe, sasa wakawa wanatengeneza barabara.
Likaja li Ester huko likanichomekea kwa mbele, ilibidi nisogee pembeni kabisa kumpisha.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Kuna basi moja linaitwa Arusha Express....dereva wa hili basi kitu ulichonifanyia pale maeneo ya KIA nikiwa natoka Hai kuja Arusha sitakusahau....Hakuna watu wanakera kama mabasi ya mkoani. Kuna siku tuko na mama yangu na mamadogo anaendesha asubuhi kuelekea shamba mlandizi. Ubaya tulitooa muda mbaya na mabasi ya mkoa. Kulikua na tilisho nyuma na esther wanachuana... unajua panic? Mpk mamdogo wangu alishindwa control gari na ikazimika katikati kwa zile honi na fujo zao. Dereva akajua hapa mwanamama keshaloose confidence akatulia. Akawasha gari akapark lwanza kwa dk kadhaa arelax. Yaan wanakupatisha ajali unajina hawa walevi
Umetoka Uyole kwenda wapiNdio nimepaki asante mjapani yangu. Haikuwa rahisi from Uyole saa 11 na dkk 15 mpaka saa 1 dkk 15 asubuhi!
Ila tochi kama zote...askari wameshajua kuwa watu wanatest spidi kule..[emoji38][emoji38]Afu hazina humps
Hahahaha...hii Fekon me nahisi Mchina alishindwa kutamfa Fucking...[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji87][emoji87]Mkuu Kwa hizo bike kubwa dereva wa basi au Fuso lazima akuogope, na hakuna gari itakusogelea kizembe.
Madereva wa magari wakikuona na Fekon,Boxer,Tvs na Sanlg ndio wanakuvimbia. Dereva yoyote akiona bike kubwa kama BMW GS1200,Honda CBR600 lazima awe makini anajua akigusa ni msala kwake.
Unatamani umrudie...mimi nilijisemea nikikuta Askari wa barabarani karibu nasimama nawaambia kilichotokea wang'ang'anie huko mbele. Na ningewaambia wale askari taarifa hii naifikisha kwa mkuu wenu....bahati yake sikukutana na askari maeneo ya karibu.Kuna basi moja linaitwa Arusha Express....dereva wa hili basi kitu ulichonifanyia pale maeneo ya KIA nikiwa natoka Hai kuja Arusha sitakusahau....
Alinitoa barabari nikaishia kupiga ukingo wa kalavati dogo....Kishindo kilivhotoka, wiki nzima nilikuwa naona mawenge nikiingia barabarani..
Ni kweli mkuu kwa sababu miaka ya nyuma miezi hii ya mwisho wa mwaka headlines za taarifa za habari ilikuwa mara Songea basi limeua kadhaa, Mbeya kadhaa, Tanga kadhaa.. mpaka inachosha.....Sometimes tunawalaumu wenye nguo nyeupe ila kwa akili za madereva wa mabasi acha wawe wakali tu
Bike gani kiongozi..Jana nimetembea km 1236, Nashukuru Mungu nimefika salama, japo nilikutana na mvua, ilinichelewesha kidogo kwa sababu ilibidi nitembee speed ya kawaida kwa saa kama moja, baada ya hapo moto mkubwa. Niliondoka saa 12.30 asubuhi, saa 11 jioni nilikuwa home tayari. Kutoa tukio la mvua I enjoyed the ride. Nasubiri tena tarehe 2 mwakani kurudi maskani ya pili. Uzuri wa bike sijasimamishwa na trafic njiani
Tararibu mkuu....Eti Li Ester..[emoji1][emoji1][emoji119][emoji119][emoji1][emoji1][emoji1]Kuna siku nilikuwa natoka mlandizi kwenda dar.
Nikafika Kongowe, sasa wakawa wanatengeneza barabara.
Likaja li Ester huko likanichomekea kwa mbele, ilibidi nisogee pembeni kabisa kumpisha.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Hahahaha mie ndiyo maana nikisafiri na mabasi huwa napenda sana kukaa siti za mbele kabisa karibu na dereva na wale makonda! Yaani nikikosa siti ya mbele bora niahirishe safari niisogeze mbele kama sina haraka yaani huwa sitakagi kabisa siti ambayo iko nyuma ya siti nyingine aiseee![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeh, huwa na konda anasema mletee yote huyo ameionaaa lete chumaaaa... hapo hizo honj za yutong balaaa. Ukipiga honi kaa warning unasikia wanajibu ameiona huyo mletee mleteeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimetaka na kucheka ila nimejizuia nashindwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mkuu. Poole sana aisee. Halaf arusha express lilivyo bovu sasa. Hapo wanaambiana na konda nimempelekea moto akome next time. Yaan i feel u na nilivyo muoga. Nawaheshimu sana wenye ujasiri wa kuendesha magari na hawa watu. Sithubutu. Na unq ujasiri aisee. Ingenichukua muda kweli.Kuna basi moja linaitwa Arusha Express....dereva wa hili basi kitu ulichonifanyia pale maeneo ya KIA nikiwa natoka Hai kuja Arusha sitakusahau....
Alinitoa barabari nikaishia kupiga ukingo wa kalavati dogo....Kishindo kilivhotoka, wiki nzima nilikuwa naona mawenge nikiingia barabarani..
Tatizo pia unaweza uwachome halaf hao matrafiki unakuta ni washkaji wana percent zaoUnatamani umrudie...mimi nilijisemea nikikuta Askari wa barabarani karibu nasimama nawaambia kilichotokea wang'ang'anie huko mbele. Na ningewaambia wale askari taarifa hii naifikisha kwa mkuu wenu....bahati yake sikukutana na askari maeneo ya karibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeh, liesther kabisa. Wanazinguaga wahudumu wao hao. Mwenye nayo katoa jona la mwanaye mwenzangu.Tararibu mkuu....Eti Li Ester..[emoji1][emoji1][emoji119][emoji119][emoji1][emoji1][emoji1]
Mademu wanaoitwa Ester humu jukwaani watakuchukiaaa..
Wapi hapa bibi?
Mie mwenyew nipo chuga huku. Sipo jijiniNipo mjini hapa nipemwaliko bc
Jahahahahahaha yaan mkuu nimefurahi maana tumefanana aisee. Toka primary siti yangu ni nyuma ya dereva. Hiyo inajulikana. Msichana peke yangu the rest ni boys. Tunapiga story na dereva balaaa. Sijui yupe dereva mzee juma wa dar express kama bado. Tunawanunulia na bia kbs ili wakimbize tuwahi kufika dethilamu.Hahahaha mie ndiyo maana nikisafiri na mabasi huwa napenda sana kukaa siti za mbele kabisa karibu na dereva na wale makonda! Yaani nikikosa siti ya mbele bora niahirishe safari niisogeze mbele kama sina haraka yaani huwa sitakagi kabisa siti ambayo iko nyuma ya siti nyingine aiseee!
Huwa panachangamka sana pale mbele hasa kwa hayo mabasi ya mikoa niliyoitaja yaani mwanzo mwisho stories kama zote! Sema siku hizi New Force kapoa sana siku hizi habari ya mjini ni Sauli na Al Saedy na mwenzao Imani Plus hawa ukiwakuta wanashindana utafurahi na roho yako!