Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kamatia hapo hapo

Usiachie[emoji3][emoji2089]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu umenichekesha,
Sijui imewaza nini!


Humu tunachat tunafurahia safari,lakini sisi wengine bado tupo under control ya mzazi..kila siku lazima tureport na kulala nyumbani ..
Sasa ikitokea safari ndefu inayolazimu kulala nje inakuwa changamoto kupata ruhusa.
 
Discover 3 huwa ni 2.7TDV6 ILA disco 4 hiw ni 3.0TDV6 3 iko slow kiaina
Ile iliandikwa 3.0TDV6. That much nakumbuka clearly. Probably ni Discovery 4 maana niliinotice tu taa zake kwenye side mirror nyuma yangu then label ya 3.0 TD V6 iko nyuma kulia. Sikukaa mda mrefu nyuma yake alianza kukata magari kama hana akili nzuri na mimi ujasiri huo sikuwa nao mpaka barabara ilipofunguka baada ya mlandizi ndio nikamlia timing.
 

Jaribu kuwaza Defender P400 unaweza shawishika [emoji16][emoji16]
 
Uvumilivu unanishinda! Nilitaka nisitoke hadi December
 
Wengine wanabandika nimekuta gari nyingi wana bandika V8 au twin turbo hadi carina za V8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…