Kuuliza stability kwa Germany car ni kama kuuliza karafuu Pemba. Fuel consumption kwa BMW X3 not friendly engine kubwa. Ni 2.5 au 3.0 petrol straight six engine. Napenda sana sound yake.Wakuu vipi kwa mwenye uzoefu bmw x3 ipoje? Kuanzia stability fuel consumption na mengineyo
Duh matuta makubwa halafu hayana warning?! Yana hata rangi?Hapu mguu na macho yako tu mkuu, njia haina surprise zozote. Ungekuwa unatembea usiku ningekuambia uwe makini kipande flani ukishapita kibaigwa nadhani kuna kama mbuga, kuna matuta makubwa mno kama manne na hayana warning. Mchana utayaona ila usiku ndio changamoto.
No useful warning whatsoever. Alafu yapo kwenye eneo very plain and straight hutegemei tuta [emoji1787][emoji1787]Duh matuta makubwa halafu hayana warning?! Yana hata rangi?
Yes ndo mana huwa sipendi kusafiri usiku barabara nyingi za tz hazina warning signDuh matuta makubwa halafu hayana warning?! Yana hata rangi?
Kuna Jamaa kwenye group fulani nilishasikia wanazungumzia hii sehemu. Mmoja alipiga hapo akapasua sump pan na vitu kibao.No useful warning whatsoever. Alafu yapo kwenye eneo very plain and straight hutegemei tuta [emoji1787][emoji1787]
Ewaa hapo unakaza tako kwenye breki mpaka unapata muscle cramp [emoji1787][emoji1787]Kuna Jamaa kwenye group fulani nilishasikia wanazungumzia hii sehemu. Mmoja alipiga hapo akapasua sump pan na vitu kibao.
Nishaacha kabisa kusafiri usiku,too stressful. Naondoka mjini saa 11 asubuhi jua likianza kuchomoza nipo nje ya mji naanza kutembea bila stress ya surprises.Yes ndo mana huwa sipendi kusafiri usiku barabara nyingi za tz hazina warning sign
Gairo mkuuKabla ya Kibaigwa unapita mji gani?
Pole sana mkuu. Mungu ni mwema kama amekupangia huko basi atakupigania na utapata regardless.Karma, sikutanii.. wengine tumekua ndoto zetu zilikuwa tuje tulitumikie taifa ( upande wa uaskari wa aina yoyote ) kwa maana kila raia haijalishi ni police au mwananchi analitumikia taifa kwa namna fulani..
Na tumesoma sana mpaka unajiuliza hivi hawatuoni au ndio mpaka refa [emoji3]
Sema ndio hivyo hakuna namna
Hata uraiani Huwa wanarecruitTuanzie zimamoto..
Picha linaanza JKT sijawahi pita, na kozi yangu haikuwepo ( nyingi zilikuwa usanifu, uhandisi na ualimu )
Tuje uhamiaji
JKT pale pale
Magereza
Vile vile
Police pia.
Ngoja tuone baka baka
wajeda wa kizazi hiki 😳😳😳😳 au unazungumzia wajeda gani, hadi wana honga ili waende sudan ku make bingoKwa mtu wa ajira sawa, ila wengine ajira huko hatuzingatii saaana.. it's all about serving the country chief
Sio lazima uwe JWTZ ili utumikie taifa. ziko meansa nyingi sana ambazo unaweza litumikia taifaMkuu pambana ndoto Yako itatimia. Kama umepangiwa upande huo ni suala la muda.
Ukipata nafasi ya umachinga kama Holy Man na mimi usikatae riziki popote. Sio bongo tu ukitaka nafasi ya jeshi Kuna jamaa wa kitaa alijiunga na jeshi la wageni la USA ujaribu na huko Kuna watu watakusaidia miongozo ya kufikia ndoto.
Naonaga hiyo nchi kama iko powa, isipokuwa palikuwa pananiboa gairo yake mamigongo, naona wameyapunguza punguzaHoly Man ISO M.CodD wiki ya kwanza mwezi ujao nina trip ya Dodoma. Sijawahi kupita njia ya Kati zaidi ya Morogoro. Nipeni dondoo njia ikoje hasa kwa gari zetu zinazotembelea tumbo!
Siyo wote jamani [emoji1787][emoji1787]wajeda wa kizazi hiki [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] au unazungumzia wajeda gani, hadi wana honga ili waende sudan ku make bingo
Yeye amesema anataka litumikia taifa kupitia uaskari tu jamani Holy Man ni nini lakini mbona unamfuruga kijana wa watu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sio lazima uwe JWTZ ili utumikie taifa. ziko meansa nyingi sana ambazo unaweza litumikia taifa
macho yanawatoga kama mjusi kabanwa na mlango wakisikia habari za sudan na kwingineko 😀😀Siyo wote jamani [emoji1787][emoji1787]
Bado anaweza akawa askari asie na mamlaka wala uniform na Taifa likanufaika yeye sana. shida watu wanapenda mamlaka pia. Ukitaka taifa linufaike na kuwa salama hauitaji kuwa askari hata 😀😀 hata kuhakikisha kipindu pindu na malaria mtaani kwako vinatokomea nayo ni huduma kubwaaa sanaYeye amesema anataka litumikia taifa kupitia uaskari tu jamani Holy Man ni nini lakini mbona unamfuruga kijana wa watu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nitakuwa Singida. Karibu ule kuku wa kienyejiHoly Man ISO M.CodD wiki ya kwanza mwezi ujao nina trip ya Dodoma. Sijawahi kupita njia ya Kati zaidi ya Morogoro. Nipeni dondoo njia ikoje hasa kwa gari zetu zinazotembelea tumbo!
Ili kumpunguzia safari ya kupanda milima kuja hapo Singapore itapendeza wewe mwenyeji ushuke fasta uumpeleke pale bambalaga na viwanja vingine mgeni afurahieNitakuwa Singida. Karibu ule kuku wa kienyeji