ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Kuna pisi moja ilikuwa inapush hii chuma safari ya leo. Mwamba kavimba kushoto kwake. Safi sana aiseeKei car ya mjerumani (1 series au A class) ukilinganisha na kei car ya mjapani ndio wanakuwa worlds apart. Unavyopanda juu tofauti inazidi kupungua
Mida ya mapopo sio? Alfajiri ya kuamkia 24Naomba mechi na wewe hiyo 23rd na Mimi napanda na Bimmer
Mkuu £22,000 ni 70m bado TRA hujakaa nao chini. Sasa unaipataje kwa 50m?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jaza mwenyeweAiseee 160 RPM iko 6000 duuuh
Loh! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]Kwanza kumjazia mtu wa full tank raha sana.
Yaani full tank ni elfu 3 ,3 za bajaji 50.
Hasa pale mwisho yakishajaa,mwingine anatingisha gari kidogo,mnaanza kubinya pump taratibu huku mnaibana tena hadi yamwagike.
Kuna watu hawana hela ya mawazo hapa duniani.
____________________________.
Kuna gari zinaingia kujaza mafuta,yaani yeye mwenyewe anaogopa,
Mafuta ya elfu 5 pump inazunguka sekunde 2 imeshasimama.
Mtu huyu ukidondosha tone lake hata moja tu utajuta..
Atakupasua kichwa hadi basi.
Hapana mimi natoka alfajiri ya tarehe 23. Yaani nataka saa tano niwe nakunywa bia Moshi mjiniMida ya mapopo sio? Alfajiri ya kuamkia 24
Njoo tuiwekee kiraka, hakuna hatakae gundua Mali inakuwa kama imetoka Fuji Heavy Industries.Hahahahahah
ngoma ngumu hii😅
Na ukianza hapo ni non stop mpaka January[emoji1787]Hapana mimi natoka alfajiri ya tarehe 23. Yaani nataka saa tano niwe nakunywa bia Moshi mjini
[emoji38][emoji38][emoji38]Sisi wengine tuishi katika misingi ipi?
Uniambie mapema ili niende pale hiyo siku.Ikiisha hii inayofuata yako.
Usifikiri hata ni mbali basi, mwisho wa wiki hii tu jini linadai tena [emoji28][emoji1787]
Yaani petro stations kuna comedy za kila aina..Loh! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Gari nyingi hakuziwekea anti-roll kama ya mjerumani halafu sio nzitoHizo walitakiwa waweke 260kph...sema Mjapan ana akili ukianza kupanda kuanzia 160+ unaona kabisa gari inaachana na lami
hahahahah wahuni sio watu😂 kilaka cha ngano na supagluu😅Njoo tuiwekee kiraka, hakuna hatakae gundua Mali inakuwa kama imetoka Fuji Heavy Industries.
mjapani ni K kweri kweri😂Kei car ya mjerumani (1 series au A class) ukilinganisha na kei car ya mjapani ndio wanakuwa worlds apart. Unavyopanda juu tofauti inazidi kupungua
Ukinunua hio wanahamisha magoli. Ushuru wanapiga kutumia invoice yako! Hawa jamaa utaenda nao Sawa kwenye gari wanazozijua IST and the likeView attachment 2041590Mtoza ushuru kaweka toxi ndogo Kwenye Jaguar XF. Toleo la 2015 unacheza kwenye 17.8m na mwaaka 2020 inacheza 24m.
Duh kwamba kununua Cruiser siwezi hata Sura inishinde?!!LandCrown 200View attachment 2041638
Sawa mkuuUniambie mapema ili niende pale hiyo siku.
Haka bwana kuna 130i sasa potea njia uwe hujui hio 130i maanake nini!Kuna pisi moja ilikuwa inapush hii chuma safari ya leo. Mwamba kavimba kushoto kwake. Safi sana aisee
Sasa tulinganishe hii na RunX kweli?
View attachment 2041584