Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Yaani petro stations kuna comedy za kila aina..
Wengine wakiona bei ya mafuta wanaanza kutukana viongozi wa serikali..atatukana hadi anaondoka.

...........................................
We jamaa ukifika nitafute tunywe bia mbili tatu.
Naona kweli siku hIzi unapiga vitu maana umeshusha maneno leo [emoji28]
 
Naona kweli siku hIzi unapiga vitu maana umeshusha maneno leo [emoji28]
[emoji23][emoji23]
Ah kupambana na wateja wasumbufu na hela hawana ni kipaji[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]maana namchana mteja kuwa wewe huna hela wewe.,akisema oh sitakuja tena nasema sawa tu sasa elfu 5 unanitisha nayo,inatesa pump zetu bure[emoji12](kidding)
Inabidi nirudi shule nikasome kwanza biashara na customer care..[emoji38]


...............
Nimeshusha maneno eeh!?
Siku nikinywa bia sijui nitakuwaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani tusio na hela tuna nongwa asee [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…