Utajificha mvua chini ya lori wewe,hio njia sio!Nani aliibuka kidedea hapo baina ya farasi mweupe na huyo bibi kizee wa kijerumani?
Sema weaving huwa tamu ila iwe muda ambao hamna jam kubwa kama usiku huo mkeka huwa mtamu kweli yani! Hio njia ukiipita kuanzia saa 4.30 usiku utapapenda.
Nani aliibuka kidedea hapo baina ya farasi mweupe na huyo bibi kizee wa kijerumani?
Sema weaving huwa tamu ila iwe muda ambao hamna jam kubwa kama usiku huo mkeka huwa mtamu kweli yani! Hio njia ukiipita kuanzia saa 4.30 usiku utapapenda.
Hii ligi yenu mkiipeleka kwenye ile thread itapendeza sana.Hahaaa eti bibi kizee wa kijerumani, huo sasa ni utani wa ngumi. Hata sijui mwanzo nilikuwa nao sambamba naenjoy ligi yao, ila baadaye wakapepea sijui nani aliibuka mshindi huko mbele.
Ooh, nipo dear nimejaa telee. Nilishatoka arusha. Nipo romboNilimaanisha kuuliza this time hatuendi Mkuu Rombo ??
[emoji23][emoji23][emoji23] dah. Na kibibi kweli. Anatudhalikisha sna huyoUlikubalije wakuache[emoji28], hilo bmw ni la 2005 very aged huwezi fananisha na 2016 landcruiser ki horsepower ki Torque na wala kiuzuri![emoji28]
Hapo ni tofauti ya zaidi ya miaka 10.Nani aliibuka kidedea hapo baina ya farasi mweupe na huyo bibi kizee wa kijerumani?
Sema weaving huwa tamu ila iwe muda ambao hamna jam kubwa kama usiku huo mkeka huwa mtamu kweli yani! Hio njia ukiipita kuanzia saa 4.30 usiku utapapenda.
Aisee! Kwahio wewe kama mkizi, ukiamua unarukia mtumbwi mwenyewe mvuvi ale bila purukushani?!!Mimi silagi kabisa mkuu. Ila ukiachana na sisi ambao hatuli kabisa kuna wengine wana ujanja huo aliousemea offshore seamen kwamba wanakula vyote hivyo na hawakamatiki.
😳😳😇😇😎😎🔥🔥Eeh. I had a road trip juzi usiku to Arusha. Sijaenjoy wala nini. Ni homa na mafua balaa. Full kulala kama pono. Karibuni jamani tuko moshi sasa. Musizidi kuchelewa
Have a nice trip guys.. muwe makini na utelezi. Huku kaskazini mvua zanyeshaa...
Poleni pia wenye homa na mafua, vikohozi etc...
Merry Christmas in Advance
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Dah imeniuma sana miss pablo bianco umetoroka kijanja😅 wakati nilikuwa navizia chance ya udereva tuingie wote Moshi.Eeh. I had a road trip juzi usiku to Arusha. Sijaenjoy wala nini. Ni homa na mafua balaa. Full kulala kama pono. Karibuni jamani tuko moshi sasa. Musizidi kuchelewa
Have a nice trip guys.. muwe makini na utelezi. Huku kaskazini mvua zanyeshaa...
Poleni pia wenye homa na mafua, vikohozi etc...
Merry Christmas in Advance
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji1635][emoji15][emoji15][emoji56][emoji56][emoji41][emoji41][emoji91][emoji91]
Ha ha ha ha si uninyonge? Mpaka next christmas hiyo. Huji kwani?Dah imeniuma sana miss pablo bianco umetoroka kijanja[emoji28] wakati nilikuwa navizia chance ya udereva tuingie wote Moshi.
Dah mi ata sielewi yani nikapande BM wakati ford renja ilikuwepo uwani tu imepaki?Ha ha ha ha si uninyonge? Mpaka next christmas hiyo. Huji kwani?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Huendi wewe watu wanafanya services ndogo ndogo waamshe vyuma. Teh teh teh.....Haha This Time Hatuendi Mkuu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo mwakaniDah mi ata sielewi yani nikapande BM wakati ford renja ilikuwepo uwani tu imepaki?
Hii tunaita samaki Kala chambo,ndoano na mshipi! Au Kijana wa hovyo hovyo unasemaje?Dah imeniuma sana miss pablo bianco umetoroka kijanja😅 wakati nilikuwa navizia chance ya udereva tuingie wote Moshi.
Inaonekana watu wameshazoea mji hawarudi town. Saa mbili usiku foleni hadi nikashangaaAisee! Kweli nilishangaa sana foleni ipo
Samaki anapofanikiwa kula chambo na kuitapika ndoano, huwa nikipindi cha maumivu makali sana kwa mvuvi.. unaweza kuta hadi chozi linamtoka 😂😂😂Hii tunaita samaki Kala chambo,ndoano na mshipi! Au Kijana wa hovyo hovyo unasemaje?