Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?


Hivi kwa nini huwa mnaona wanawake tunakimbiza gari?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]



Leo Arusha
Huu mwaka naona nimeanza na Trips za kutosha,

Mpaka Leo tarehe tisa nshapiga Zanzibar,Tanga na Leo Arusha…
 
Hivi kwa nini huwa mnaona wanawake tunakimbiza gari?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]



Leo Arusha
Huu mwaka naona nimeanza na Trips za kutosha,

Mpaka Leo tarehe tisa nshapiga Zanzibar,Tanga na Leo Arusha…
Ile speed aliyokuwa anatembelea sio ya kawaida mkuu, maspeed ya sisi wanaume kabisa yale 😅.

Daaaah kuna raha sana kuendesha gari highway haswa zile sehemu ambazo gari ni za kuhesabu.
 
Kanuni za biashara wachache sana huelewa
 
Kanuni za biashara wachache sana huelewa
Unaweza ng'ang'ana na 2500tzs per 1lt lakini rate of stock turn over ni 1times kwa mwezi..na depo unaenda mara 1 kupakia.
Ila ukikubali kushusha shilingi 5 tu au kumi,ukauza 2490 rsto inakuwa 10 times kwa mwezi...wewe unashinda depo kupakia mafuta kila wiki.
 
Hahahahahahah tutafungua sheli yetu mrembo endelea kuokota ujuzi hapo GBP
 
Hahahahahahah tutafungua sheli yetu mrembo endelea kuokota ujuzi hapo GBP
🤣🤣🤣 jenga basi uniajiri niwe nakubetia mambo😂😂.
Ajira ngumu hizi,,tunajikuta tunaanza kusoma mafuta mtaani..
Si mama alishasema anawashangaa wasio na ajira na pia kuna hatari ya majobless kukusanywa na kupigwa mnada kama mbolea nchi za nje😂

Naiba wapi hela za kujenga kituo jamani😂.
Ila on serious note biashara hiyo ina faida aisee,yaani ndani ya miezi michache mtu anarudisha mtaji wake.
 
Kumbe mjini hapa? Itaje jina kabisa, wateja humu wapo wa kutosha.

Japo hiyo njia sipitagi sana ila ntakatisha siku 1 kukuunga tank full.
Bora useme na wewe mkuu. Tatizo watu si wanaona Dar ndogo ndiyo maana hawaamini kama inawezekana mtu kuwa unaishi Dar na kuna sehemu unawezaa kaa muda mrefu hujapita.
 
Bora useme na wewe mkuu. Tatizo watu si wanaona Dar ndogo ndiyo maana hawaamini kama inawezekana mtu kuwa unaishi Dar na kuna sehemu unawezaa kaa muda mrefu hujapita.
Mimi na uhangaikaji wote sehemu kama Goba,Kinyerezi,Gombs,Kimara,Mbezi Makabe na maeneo hayo naweza maliza hata miaka mitatu sijafika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…