Midas hii natoka kuvuka hapa Busisi na VANGUARD hapa usiku huwa zinavuka private car nyingi sana (kulikuwa n'a foleni), sasa gari zimetoka zinafukuzana afu kwenye wheel yupo wife nilichoka hivyo nikaomba amalizie safari .
Ebwanaeeeh, hawa viumbe tuishi nao kwa akili, aiseeh gari unapigwa fimbo kwenye hizi mbio kiasi ambacho hâta mimi sijawahi kwenda, overtaking za kibabe balaa, kuna muda nilianza kupatwa na wasiwasi.
Nataka tukifika room nimuulize huu ubandidu kajifunzia wapi, atakuja kufa siku moja huyu.