Hahahahah Passo Racy ya uongo sana yani๐ kigari kibayaaaa๐๐๐ Passo umetokea kupishana nayo sana.
Ngoja Extrovert akupe shule ya gari za Toyopet,Aichi. Kuna Passo Sette hii Ina nafasi Kama uwanja wa Taifa mnapanda familia nzima na majirani.
Kuna Passo Racy hii sawa na Vits RS inakimbia ukitia full tank hata Crown hakukamati ๐๐๐
Passo sette katamu sana kamekaa kama Ractis new Model!๐๐๐ Passo umetokea kupishana nayo sana.
Ngoja Extrovert akupe shule ya gari za Toyopet,Aichi. Kuna Passo Sette hii Ina nafasi Kama uwanja wa Taifa mnapanda familia nzima na majirani.
Kuna Passo Racy hii sawa na Vits RS inakimbia ukitia full tank hata Crown hakukamati ๐๐๐
Mimi kwenye kuchambua magari na speed ni mweupe sana.[emoji23][emoji23][emoji23] Passo umetokea kupishana nayo sana.
Ngoja Extrovert akupe shule ya gari za Toyopet,Aichi. Kuna Passo Sette hii Ina nafasi Kama uwanja wa Taifa mnapanda familia nzima na majirani.
Kuna Passo Racy hii sawa na Vits RS inakimbia ukitia full tank hata Crown hakukamati [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Passo umetokea kupishana nayo sana.
Ngoja Extrovert akupe shule ya gari za Toyopet,Aichi. Kuna Passo Sette hii Ina nafasi Kama uwanja wa Taifa mnapanda familia nzima na majirani.
Kuna Passo Racy hii sawa na Vits RS inakimbia ukitia full tank hata Crown hakukamati [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanini mkuuNinalala nikiwa na amani sana leo [emoji16][emoji16]
Wameitengeneza muonekano tofauti kidogo, wameipa HeshimaPasso sette katamu sana kamekaa kama Ractis new Model!
Passo sette ni gari nzuriWameitengeneza muonekano tofauti kidogo, wameipa Heshima
Kwanini mkuu
Hapo nakuwa sijavunja sheria yoyote wala kuhatarisha maisha ya watumiaji wengine wa barabara. Askari hawahangaikagi na mimi nikifanya hizo mambo. Nachaguaga wapi pa kufanya hayo, sio kila pahala. Plus sikimbii mwanzo mwisho, nasprint tu mita mia kadhaa mbele then natembea mwendo wa kawaida. Kukimbia town hatari sanaUkipata gari toka Germany andaa fungu la fine la kutosha. Na uandike wosia kabisa.
Mtakatifu Anne nimepita hapo alfajiri sn nikakosa kukusabai nadhan cku nyingine[emoji12][emoji23][emoji23]Unadhani hata huwa nazunguka basi.
Mwendokasi zimeniharibu.
Ohhh๐๐ฅฐ๐ฅฐโคโคMtakatifu Anne nimepita hapo alfajiri sn nikakosa kukusabai nadhan cku nyingine[emoji12][emoji23][emoji23]View attachment 2077671
We jamaa bana๐๐๐๐Kuna Passo Sette hii Ina nafasi Kama uwanja wa Taifa mnapanda familia nzima na majirani.
Hahaaaaaa natania mtakatifu Saint Anne . Isyesye kumetuliaa, nyumba zinapanda mlima. Ila mvua ikiwa nyingi baadhi ya barabara za mtaani hazipitiki asee.Isyesye kubaya?
Umepita Isyesye gani wewe mkuu?
Natania. Sehemu nyingi pamepangiliwa Ila full kuruka madimbwi.Duuh umepita Isyesye ya wapi mkuu? Usije ukarudia tena kusema hivyo mbele za watu asee Isyesye ni moja ya sehemu za kishua kabisa kwa hapo Mbeya Mjini!
Amen[emoji120]
Kilichofuatia ni wenge au kulewa!
Wewe ni Team Japan au Team German.. tuanzia hapa kwanza ๐๐Wakuu namimi nimenunua gari, sasa namimi nitaanza road trip kwanza za ofisini, kanisani na nyumbani. Nipo nanyi humu toka day 1, comment kwa comment, ndio uzi ninaoufuatilia muda mrefu kuliko uzi wowote JF, nimejifunza mengi sana yahusuyo barabarani, kaka RRONDO barikiwa sana na wengine wote, asanteni sana