Ukimiliki hili gari ujifunze kuagiza spare mwenyewe. Unaenda kwa fundi unalipa labor charges tu.Haya mambo ndio mafundi wetu hawayataki.. [emoji3][emoji3][emoji3]
JituMirabaMinne
RRONDO
mtongwe Extrovert ISO M.CodD View attachment 2079535
Duh. Si 700km hizo? 11kmpl? Mi nishawahi piga karibu 600 nikiwa trip na tenki mojaFull ilifika mjini. Ilibaki wese la kutembea 7km tu
Jana nilikuwa naangalia reviews za BMW i4, nikakukumbuka mzee wa gari za chini.Hiyo matumizi mabaya ya nguvu za gari, hiyo inatakiwa ikishuka tu pale bandari inacheua paka geita kwanzaa.. mwanzo mwisho una wawashia indicator.. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwanini umpe shida nduguyo [emoji1787][emoji1787]Haya mambo ndio mafundi wetu hawayataki.. [emoji3][emoji3][emoji3]
JituMirabaMinne
RRONDO
mtongwe Extrovert ISO M.CodD View attachment 2079535
Imetulia nzuri ile, mchawi pesaaa.. tu 😀😀😀😀 sedan za kibabe zipo hata zile porche sema gusa bei zake sasa.. kuna mwamba aliagiza akashindwa lipia ushuruJana nilikuwa naangalia reviews za BMW i4, nikakukumbuka mzee wa gari za chini.
Ila kapo sexy hatari.
Gari inaweza kukuzimikia njiani.Hahahahahah zikitoka za 10,000 range ndio mtaweza kwenda nazo huko mbali hivyo!
Kwa sasa Dar -Moro ni 1.5hrs on full charge!
Mtu anaelaza 20bn kwa mwaka ndo atafanya haya.
hawa ni madereva wa magari makubwaa[emoji16][emoji16]View attachment 2079670
Body type unayotaka ni ipi? sedan, SUV, hatchback, coupe?Bila kodi mkuu
[emoji4] [emoji16]Jamani juzi Moshi nimeona Harrier Anaconda hybrid ya 2021 kuna watu jeuri sana humu mjini
Nimeaanza kuzielewa sana Porche hasa panamera.. ila sijaona hata moja yenye bei ya kinyonge nilienda mahala nikaiona nikasema eeh hizi ndio gari sasaMtu anaelaza 20bn kwa mwaka ndo atafanya haya.
Mkuu mie sedan tu mzeee,Body type unayotaka ni ipi? sedan, SUV, hatchback, coupe?
I'm sure huwezi endesha dealership kama huna mafundi wenye technical knowledge ya gari wanaoziuza.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] dealership gani bongo wana know how ya EV?
Hahaa umenikumbusha yule traffic anayetabasamu [emoji3][emoji3]Umemkuta kipini?
Hahah! Yule dogo huwa ananikosha anavyoita gari..yaani full tabasamu.
Ukimkuta sasa anavyokokota bajaj na pikipiki[emoji1787]..bajaj ikizimia pale kabla haijaingia kwenye pump anakimbia mbio kwenda kusukuma[emoji1787][emoji1787]
Sema amezidisha uchangamfu hadi mara nyingine huwa anasahau kuchukua hela ..kule ndani anajila [emoji16]
Sie wengine hapa kununua gari za 200M kuendelea labda ziwe made of vibranium [emoji1787][emoji1787]Nakazana sana kusaka pesa asee.. humu mjini kuna watu hadi wana G-Wagon latest kabisaa.. naona kama nafanya utani.. uhalisia kama unataka chuma.. mezani tenga kuanzia 150+million kidogo unaweza paka gari mahala umevimba kichwa
Kuna jamaa Kenya anauza magari.Nimeaanza kuzielewa sana Porche hasa panamera.. ila sijaona hata moja yenye bei ya kinyonge nilienda mahala nikaiona nikasema eeh hizi ndio gari sasa
Nataka niachane na BMW sahivi.Nimeaanza kuzielewa sana Porche hasa panamera.. ila sijaona hata moja yenye bei ya kinyonge nilienda mahala nikaiona nikasema eeh hizi ndio gari sasa
Amen ubarikiwe sana mkuuHongera sana. Hakika wewe sio mnyonge barabarani. Tembea kifua mbere
C350 itapendeza sana mkuu.. ile ina nguvu hatari 😊😊Nataka niachane na BMW sahivi.
Ntakuwa naishi kifaza sasa, Porsche au Mercedes.
Kwa kuanzia nataka nitest maji na Mercedes C200/C300 ya 2014.