b4theg
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 356
- 1,208
Gari ikishakua hivi ndo inakua tamu sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari ikishakua hivi ndo inakua tamu sasa
Mbona husemi uko na gari gani isije kuwa uko na passoNna ligu na bmw 525i hapa
BhasX5 M Competition, 5 Hrs. [emoji16][emoji16]
Kuna sehemu huwa zinaosomeka hizo idadi ya bans.....!!!?Ila mwamba huwa namkubali sana,hapepesi neno la kuandika wala kuwaza mara mbili wanapomvuruga🤣🤣🤣🤣Halafu we jamaa una ban nyingi kuliko Likes why?
Wakinipa Bentley Bentayga au Audi RS Q8. 5hrs nshafika Nyege zBarabara kama hii unapewa unlimited speed.
Chagua gari utakayotumia na useme utatumia masaa mangapi Dar to Mwanza.View attachment 2123060
Naunga mkono hojaAsalaam wakuu wote wa road trip, few day's ago nimeendesha for first time Ile barabara ya Mzuzu to Kalonga(towards Tanzania border)na sijawahi kuendesha kwenye Pass kama Ile unapokaribia Kalonga ,view ya ziwa Nyasa ni Safi mno tuongee hapa walioendesha hapa kwenye pass hii, Our own Kitonga pass inasikitisha mno, ajali nyingi mno na tena za kizembe kabisa,Kitonga pass itobolewe
Kuna tender flani hivi inaihusu Kitonga, sijui wanataka kuifanyajeAsalaam wakuu wote wa road trip, few day's ago nimeendesha for first time Ile barabara ya Mzuzu to Kalonga(towards Tanzania border)na sijawahi kuendesha kwenye Pass kama Ile unapokaribia Kalonga ,view ya ziwa Nyasa ni Safi mno tuongee hapa walioendesha hapa kwenye pass hii, Our own Kitonga pass inasikitisha mno, ajali nyingi mno na tena za kizembe kabisa,Kitonga pass itobolewe
Hopes italeta unafuu, pale watoboe ule mlima kama buru alivyofanya Ile N1 pale PaarlKuna tender flani hivi inaihusu Kitonga, sijui wanataka kuifanyaje
😃😃😃 hapa mzee naenda na Ferrari F12 BerlinetaBarabara kama hii unapewa unlimited speed.
Chagua gari utakayotumia na useme utatumia masaa mangapi Dar to Mwanza.View attachment 2123060
Dada na wewe unapenda X5 MC 😂😂😂X5 M Competition, 5 Hrs. [emoji16][emoji16]
Ndio mdogo wangu [emoji3][emoji3]Dada na wewe unapenda X5 MC [emoji23][emoji23][emoji23]
😃😃😃 sema mie nitafika kabla yako na kidude changu 😎😎Ndio mdogo wangu [emoji3][emoji3]
Haha we fika tu ila mie huto tudude hapana kwa kweli [emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2] sema mie nitafika kabla yako na kidude changu [emoji41][emoji41]
Hakikisha kila baada ya km 200 unajaza mafuta.[emoji2][emoji2][emoji2] hapa mzee naenda na Ferrari F12 Berlineta
Power: 730 hp at 8,250 RPM.
Torque: 509 lb-ft at 6,000 RPM.
Top Speed: 211 mph.
0-62 mph: 3.1 seconds.
Nitatumia masaa 4.. mwendo wangu utakuwa ni 250-300 [emoji41][emoji41][emoji41]
View attachment 2123941
Mercedes-Benz S Class AmagedonBarabara kama hii unapewa unlimited speed.
Chagua gari utakayotumia na useme utatumia masaa mangapi Dar to Mwanza.View attachment 2123060
Umeme mwingi hiyo kananusa tu 😃😃😃😃 ndio maana nimeweka 4hrs, moro najazia kitank, dodoma najazia, singida, shinyanga naenda malizia mwanzaHakikisha kila baada ya km 200 unajaza mafuta.
au haka Ferrari 812 Superfast 😃😃😃Haha we fika tu ila mie huto tudude hapana kwa kweli [emoji1][emoji1]