Hehe tumewaacha mkuu [emoji38][emoji38]Tuacheni na sports car zetu.. bakini na SUV zenu
Eh ukute kitu kina uchogo wa maana kama Range Rover ikibana brake kwa mbali mara imechomokea kulia inaunga ileee 😅😅😅SUV ikiwa busy inakimbia huwa inavutia sana halafu ukute kwa pembeni au nyuma ina muonekano wa kibabe! Hizo sports cars and the likes wengine tunapenda tuishie kuziona kwenye racing na drifting games tu ila vikiwa kwenye public roads vinachekesha hasa bongo ukute kiko kwenye foleni pale mwenge yaani kinaonekana very odd labda kwa wenzetu huko ambako viko shazi kama mchele!
Na umakini wa hali ya juu. Active concentration all the time.Hatari sn yakupasa uwe njema kwa mfuko!
Kupiga 250kph ni sawa. Ila ni short runs. Yani umbali mfupi mfupi.Hamna obstacle ni wewe kuchomoa na kuweka tu kisha sheli! Mkuu njia yetu ilivyo hatari na matuta na wembamba ila kuna watu wanakill 150MPH almost 250kph ndio ije kuwa hio 16 lane road!
Cheki autobhan uone watu wanayokunja mshale for minutes😅Kupiga 250kph ni sawa. Ila ni short runs. Yani umbali mfupi mfupi.
Inaweza kukuonesha 'live' unayotembea na baadae ikakuonesha wastani wa matumizi yako kwa jumla. Ile 'live' huwa ina alternate kadiri unavyotumia kwenye trip yako.Hii fuel economy kwenye display ya gari ina maana inatafuta average kila mara? Gari ya 1997 cc na assume consumption ni kati ya 10-15....View attachment 2144181
Hujapita siku nyingi basi, hio Morena nimeiona muda mrefu ila ilikuwa haijafunguliwa mara ya mwisho napita Moro. Hizo taa maeneo yapi? Picha haionekani.Mara ya mwisho kupita Moro, hakukuwa na hii hoteli ya Morena. Na Hizi traffic lights hazikuepo.
Mambo yanabadilika haraka sana.
Sure mzee inawezana hvyo. Ngoja nitaleta feedback nikipata long trip...Inaweza kukuonesha 'live' unayotembea na baadae ikakuonesha wastani wa matumizi yako kwa jumla. Ile 'live' huwa ina alternate kadiri unavyotumia kwenye trip yako.
Ukipita round about ya msamvu ukiwa unaelekea iringa kuna mataa pale mbele.Hujapita siku nyingi basi, hio Morena nimeiona muda mrefu ila ilikuwa haijafunguliwa mara ya mwisho napita Moro. Hizo taa maeneo yapi? Picha haionekani.
Mbele ukipita round about kama unaelekea iringa.Hujapita siku nyingi basi, hio Morena nimeiona muda mrefu ila ilikuwa haijafunguliwa mara ya mwisho napita Moro. Hizo taa maeneo yapi? Picha haionekani.
Barabara wameonesha ni 16 lane imenyooka😅 ya ulayaKwani hizo speed mnazungumiza Ulaya au Tz?
Safi huduma zao ziko poa.. karibu mambo yako fresh hapa 😎😎😎Mara ya mwisho kupita Moro, hakukuwa na hii hoteli ya Morena. Na Hizi traffic lights hazikuepo.
Mambo yanabadilika haraka sana.