ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Nyinyi ndio wale mwenzio akiovateki na wewe unafuata nyuma. Udereva mbaya sana. Unawezaje kuendesha kwa akili ya mtu mwingine usiemjua?Halafu zile speed traps za porini zinatia hasira mno,ila zile corners ni lazima utambue the slow ones na fast ones, bila kutambua lazima utaingia mtoni,slow corners breaks firm kabla ya kuingia kwenye corners, ukibreaks to late na ukaingia kwenye corner na break kuna hatari ya ku lock tyres, hapo Uta lose control ya gari na straight mtoni
Raha sana usiku uwe na taa nzuri tu. Utafanikwa yani vizuri mno tu sasa ona umetembea 85 bila bugudha yani steady speed ya 1OOkphView attachment 2318634
Trip za usiku ziheshimiwe na watu wote, zitabaki kuwa juu
Nilitoka Dodoma 1915 nikafika hiyo point ambayo naihesabiaga mwisho wa safari @ 0118
Hayo ni masaa 6 Dodoma to Dar, wastani wa kawaida sana 85kmph na 9.5kmpl
Ingekuwa mchana bado una masaa mawili barabarani ya usumbufu. Na vyeti.
Wengine wanaiga Mabasi, likitoka nao wanatoka kumbe basi lishamuomba wa Semi azuie, akipata upenyo anaingia upande, unabaki wewe na semi ......Nyinyi ndio wale mwenzio akiovateki na wewe unafuata nyuma. Udereva mbaya sana. Unawezaje kuendesha kwa akili ya mtu mwingine usiemjua?
Mnapeana salamu za pongezi na semi 😂😂😂Wengine wanaiga Mabasi, likitoka nao wanatoka kumbe basi lishamuomba wa Semi azuie, akipata upenyo anaingia upande, unabaki wewe na semi ......
Nooo mkuu overtaking it's a ifferent game plan pale udereva bora wa kila driver unakua applied, ila kwenye straight line visibility 100m ahead ohoooo mkuu unaunga tu, kuwa pathfinder ni cheo kikubwa ndani ya convoy, anaposimama ili as spend a penny, wote tunasimama!Nyinyi ndio wale mwenzio akiovateki na wewe unafuata nyuma. Udereva mbaya sana. Unawezaje kuendesha kwa akili ya mtu mwingine usiemjua?
Zimefika mzee,za dosi mmoja wa Kitwe zile ,moja imetoka leo Jumanne chini ya usimamizi wake Ally White,saizi atakuwa anaitafuta Iringa huko.Hio gari niliiona Tabata sheli mchana wake, ile mashine ni VX-R lazma ingewakalisha tu. Moto wake sio wa kitoto. Ilikuwa imekaa mkao wa kwenda ikiwa na prado nyingine 2.
L300 VXR hadi kusema watu wamejaribu wameona moto wake, mamnaishindanisha na gari zipi kwanza na zenyewe uwezo upi?Ila naitamani experience ya LC3OO VX-R yake sijui itakuwaje in real practice maana horsepower ni ya hatari. Watu washaujaribu moto wake huko highway haushikiki.
Aisee ngoma isambe, ile VX-R imekaa kibabe sana. Ile Iringa mapema sanaZimefika mzee,za dosi mmoja wa Kitwe zile ,moja imetoka leo Jumanne chini ya usimamizi wake Ally White,saizi atakuwa anaitafuta Iringa huko.
Kwa mtu asie makini ndio anaweza fanya huu mchezo na ni hatari kwake na chombo. Kufata mtu nyuma hatari sana inayoweza kukutanisha uso kwa usoNyinyi ndio wale mwenzio akiovateki na wewe unafuata nyuma. Udereva mbaya sana. Unawezaje kuendesha kwa akili ya mtu mwingine usiemjua?
Cheerleader anatakiwa anyooshe goti sema msiachane sana.Nooo mkuu overtaking it's a ifferent game plan pale udereva bora wa kila driver unakua applied, ila kwenye straight line visibility 100m ahead ohoooo mkuu unaunga tu, kuwa pathfinder ni cheo kikubwa ndani ya convoy, anaposimama ili as spend a penny, wote tunasimama!
Basi hapo hadi lami inayeyukaView attachment 2318987
Dakawa hapo, semi trailer inawakisha cargo ya mahindi, corns popping all over
Tanroad wana msikiliziaBasi hapo hadi lami inayeyuka
Pigwa fine na taasisi unazo zijua, usiombe kuangukia mikononi mwa Tanroad, utalia au utaacha gari. Na fine zao ni kwa dollar tu, na fine kila siku unayochelewa kulipa hela. Uje ujaribu hata kumwaga oil na gari barabarani alafu wakuotee.Huwa wanawapiga fine? Maeneo mengi naona barabara zimeyuyuka kwasababu ya magari yanayoungua.
Basi hapo hadi lami inayeyuka
Pigwa fine na taasisi unazo zijua, usiombe kuangukia mikononi mwa Tanroad, utalia au utaacha gari. Na fine zao ni kwa dollar tu, na fine kila siku unayochelewa kulipa hela. Uje ujaribu hata kumwaga oil na gari barabarani alafu wakuotee.
Mikumi pa kua napo makini kweli, juzi juzi nimepita nimekuta ma pundamilia yamezagaa alafu yanachezea karibu na road tuPia usiombe ugonge mnyama Mikumi...