National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Ndio hakuna kinacho shindikana. Tanzania imeja na mifumo mingi sana na mizuri, ila imekuwa haina impact. Nikiwa mdau mzuri tu wa ICT kuna mwaka kati ya 2009 na 2010 DIT walipata msaada wa Super Computer kutoka india, ila wapi haijawa kabisa na matokeo chanya na yaliyo tarajiwa. Mfumo wa kusajiri magari ni rahisi sana, ila kunaweza kukawa na level ya access ambayo kama hatupo makini utaleta shida na umakini sio tamaduni yetuHakuna kinachoshindikana.
Kunatengenezwa central system ambayo hizo municipals wanapewa access kwa ajili ya kufanya hizo registration.
Asee hongera sana mkuu, umetoka DSM saa ngapChuma kishaingia Moshi. Ila barabara nyeupe kabisa. Hakuna hata wa kufanya nae ligi! Hii bei ya wese sio poa!
Ndio hakuna kinacho shindikana. Tanzania imeja na mifumo mingi sana na mizuri, ila imekuwa haina impact. Nikiwa mdau mzuri tu wa ICT kuna mwaka kati ya 2009 na 2010 DIT walipata msaada wa Super Computer kutoka india, ila wapi haijawa kabisa na matokeo chanya na yaliyo tarajiwa. Mfumo wa kusajiri magari ni rahisi sana, ila kunaweza kukawa na level ya access ambayo kama hatupo makini utaleta shida na umakini sio tamaduni yetu
Ahaa hapo umetembea kifaza sana. 8 hours mwendo mzuri sana. Kwa mipasuko ulitakiwa utumie 5 hrs sema sheli ingekutahiri.Saa nane
Hata huo unaotumika sasa hivi unawezekana kufanya hiyo kazi, ni kama simu tu kila mkoa unapewa code yake. Ila shida moja umakini na u serious wetu wa mashaka mashaka sanaHuo mfumo ubakie kwa TRA tu sababu wabongo walivyo na janja janja watatengeneza chanzo cha rushwa huko manispaa itakuwa ni shida tu. Bora zimwi likujualo tu la TRA
Naskia bolt nao wanataka kuota mbawa kuanzia tarehe 17/8 wanasepa. Zitabakia bajaji na boda tuChuma kishaingia Moshi. Ila barabara nyeupe kabisa. Hakuna hata wa kufanya nae ligi! Hii bei ya wese sio poa!
Huko TRA ndo hakuna rushwa? Unaijua TRA kijana?Huo mfumo ubakie kwa TRA tu sababu wabongo walivyo na janja janja watatengeneza chanzo cha rushwa huko manispaa itakuwa ni shida tu. Bora zimwi likujualo tu la TRA
Labda waingize wataalamu kila mkoa ila kwa style yetu ya "Kamlete" wataingizwa watu incompetent mwishowe kazi ya nusu saa itakuwa ya mawikiHata huo unaotumika sasa hivi unawezekana kufanya hiyo kazi, ni kama simu tu kila mkoa unapewa code yake. Ila shida moja umakini na u serious wetu wa mashaka mashaka sana
😀😀😀😀 kamlete hawakosekaniLabda waingize wataalamu kila mkoa ila kwa style yetu ya "Kamlete" wataingizwa watu incompetent mwishowe kazi ya nusu saa itakuwa ya mawiki
Ligi zinabaki kwa madereva wanaojaziwa mafuta kwa documentChuma kishaingia Moshi. Ila barabara nyeupe kabisa. Hakuna hata wa kufanya nae ligi! Hii bei ya wese sio poa!
Muda wa kupiga hela umewadia. Ubungo - Airport mwendo wa tzs40,000Yeah zitabaki bajaj na bodaboda
E haiishi nami ntakuwa nalo inshallahY imeanza leo DZY 1O1
eeh! kufa kufaanaMuda wa kupiga hela umewadia. Ubungo - Airport mwendo wa tzs40,000
Aisee hii barabara ya morroco mwenge kuna wahuni wanatembea. Kuna Crown GRS2O2 nahisi ilikuwa inapaa sio kawaida, ile speed kwa macho tu inatisha, waweke hata 180 tu watanzania wanapenda speed banammeandika 160, mkitaka hata iwe 180 watanzania wanapenda speed- JPM
Extrovert
View attachment 2323648
😳😳😳 Barabara ambayo ina watu watu msala kukimbia , unaweza kuua bureAisee hii barabara ya morroco mwenge kuna wahuni wanatembea. Kuna Crown GRS2O2 nahisi ilikuwa inapaa sio kawaida, ile speed kwa macho tu inatisha, waweke hata 180 tu watanzania wanapenda speed bana