does exist
Member
- Aug 19, 2022
- 6
- 8
Noted, asante mkuuKama unaagiza Japan sawa...
Kama unanunua kwa mtu sikushauri..
Mkononi kwa mtu tafuta gari linaloendana na hilo la Toyota.
Ila kama unaagiza Japa , mpaka lije lianze kukusunbua, utakuwa umeshajua ABC za gari na machimbo ya spea za Mazda...
Changamoto yake ni spea si kila mahali utapata
Hv kwanini mafuta ya taa ni bei juu.. Wakati zamani yalikuwa bei rahisi sana. Enzi za JK ndio vurugu ilianzaSoko la dunia wese down, huku kwetu hakuna dalili ya kuondoa jelo [emoji2361][emoji2361]View attachment 2341607
Wataalamu wanasema yanatumika kuchakachua petrolHv kwanini mafuta ya taa ni bei juu.. Wakati zamani yalikuwa bei rahisi sana. Enzi za JK ndio vurugu ilianza
Nabahatishaga pisi kali kinoma, sema meno sina siku hizi 😁😁😁 kibogoyo naishiaga kuchukua namba na kufutaMlioko kwenye road trip weekend hii msiache vichwa. Mabasi mengi ya mikoani yamejaa kutokana na shule kufunguliwa so kumekua na uhaba wa usafiri.
Juzi nimepita Puma mwenge saa saba usiku nimekuta watu wengi wanangoja usafiri wakwenda Arusha, Moshi mjini nk.
sasa yanahusianaje na petrol nani anayeagizaWataalamu wanasema yanatumika kuchakachua petrol
petorl lita moja anaongeza ya taa lita mbili zimakuwa tatu kwenye petrol sijui umenielewa ? kwasababu petrol demand yake ilikuwa juu , kuliko taa. wakaona wapindue mezasasa yanahusianaje na petrol nani anayeagiza
lakini wanaoagiza si ndio wanauza wanaonunua mtaani si watu wa kawaidapetorl lita moja anaongeza ya taa lita mbili zimakuwa tatu kwenye petrol sijui umenielewa ? kwasababu petrol demand yake ilikuwa juu , kuliko taa. wakaona wapindue meza
Nabahatishaga pisi kali kinoma, sema meno sina siku hizi [emoji16][emoji16][emoji16] kibogoyo naishiaga kuchukua namba na kufuta
bwana weee unaweza jikuta unamlipia mtu tozo 😁😁😁Noa meno upya mkuu [emoji23].
Mwaga Michele ni mchezo gani?Wakuu Nani ameskia kuhusu mchezo unaondelea pale salenda bridge
Huu au kuna mwingne?Wakuu Nani ameskia kuhusu mchezo unaondelea pale salenda bridge
Ukiangalia kwa umakini hapo sio selander bridge hata kidogo, ni highly likely barabara za South Africa hukoHuu au kuna mwingne?View attachment 2344867
Huu au kuna mwingne?View attachment 2344867
Selander bridge hakuna mandhari hio uzushi tuHuu au kuna mwingne?View attachment 2344867
Mkuu hii definitely ni SAHuu au kuna mwingne?View attachment 2344867
Travel safely mkuu, tupia few pictures pleaseDom - dsm mdogg mdogoView attachment 2345283View attachment 2345284