There is no way utatembea 136KMs kwa saa 1.
Hio Dar-Chalinze tu ni 102kms ila estimates ni 2hrs straight.
Leo maneo ya pale alipo karibia na ubalozi wa ufaransa nimekutana na Golf R piruu ya blue flani hivi matata
Ya bonge mmoja hivi wa 'eateli', inamwaga moto ile mashine si mchezo
Ogopa sana ile chuma.... anakupita na huna la kumfanya 🤣 🤣 🤣 🤣
Golf R ni habari ingine ile machine 🤠🤠🤠 kisahani kina 320kmh
4 motion ni shida zile, ungemaliza wese lako tu, labda kama ungekuwa na 2GR 🤠🤠🤠Kwa jinsi alivyonipita, hata sikutaka shida ya kumkimbiza hapo nyuma...nikajua tu hapa ni ishu ya uwezo wa gari acha nijikongoje nitafika tu 😂😂
Hata rangi yake imesimama kama hii hapa chiniNikikumbuka siku nitaipiga picha niitupie hapa...
Hata rangi yake imesimama kama hii hapa chiniView attachment 2350193
Na hata hako ka R zipo sawa sawa dashboard inasoma 320.. Sogea unate pale 🤠🤠🤠 unapitwa kama upepo.. Isanga family anazijua hiziNaam rangi exactly kama hii
Nyuma imekaaje? Y62 inaboa kwa backside tu ni kama mtu kabana tako baada ya stiki kuingia vilivyo.Nissan wanatoa y63 lakini haina maajabu, hapa 300 series Toyota atasumbua kwa muda mrefu sana
View attachment 2350181
Sema kimuonekano wameumua wameboresha y62
Hahahah wazee wameamua wakamate GR Sport kabisa, kweli mama anamwaga asaliYamekuwa mengi mengi kidogo sasa hivi. Sijui ndio ya serikali au vipenyo au watu binafsi 🤠🤠🤠
GR-Sport nimezipenda zilivyo kaa, kuna moja ndio wameweka kabisa vimulimuli.. Nahisi soon tutaziona kwenye msafara wa bi mdashHahahah wazee wameamua wakamate GR Sport kabisa, kweli mama anamwaga asali
Ile mashine unajua ndio ina 41OHP sipati picha wahuni watakavyokuwa wanapasuka highway 😂 halafu imekaa kibabe sana. Rim tu ndo naona walizengua kuweka..Rim zake sio kali kama za VX-RGR-Sport nimezipenda zilivyo kaa, kuna moja ndio wameweka kabisa vimulimuli.. Nahisi soon tutaziona kwenye msafara wa bi mdash
GR aport haina 410 ina kama 300 ila 700Nm zenye hiyo 410 ni VXRIle mashine unajua ndio ina 41OHP sipati picha wahuni watakavyokuwa wanapasuka highway 😂 halafu imekaa kibabe sana. Rim tu ndo naona walizengua kuweka..Rim zake sio kali kama za VX-R
GR sport hiiIle mashine unajua ndio ina 41OHP sipati picha wahuni watakavyokuwa wanapasuka highway 😂 halafu imekaa kibabe sana. Rim tu ndo naona walizengua kuweka..Rim zake sio kali kama za VX-R
Bon voyageService kidogo, trip ni songea-irnga-dodoma. Kesho itakuwa ni dodoma-kondoa-babati- Arusha to moshi.
View attachment 2348763
Kweli kabisa, GR Sport inafua 305HP ambayo sio kinyonge kwa gari ya tani 2GR aport haina 410 ina kama 300 ila 700Nm zenye hiyo 410 ni VXR
Hiyo ipo kwa kazi maalumuKweli kabisa, GR Sport inafua 305HP ambayo sio kinyonge kwa gari ya tani 2