Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kwahiyo tusiojua kuendesha mnatuona wanyoonge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi angalau nifike 30 huko ndio nitawaza kuendesha.
Nilivyo na hasira za haraka ningekuwa nabamiza watu wanaokwenda rafu.
[emoji16][emoji16] sio wanyonge kabisa Yani maisha yamebadilika sana miaka watoto wa 15yrs saiv wanajua ku drive ni maamuz yako TU kutokujua au kujua Kwa muda huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…