Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kama million 200 unaona nyingi, na hizo gari za million 200 zimezagaa barabarani basi utakuwa na ufinyu wa fikra juu ya hela.
gari za milioni 200 zimezagaa barabarani?!, barababara za hapa hapa tanzania?.

ni gari gani hizo?.malori?, mabasi?, SUV's?, minivans?, sport cars?.

tupe details ndg mtaalam.
 
video kutoka maktaba:
ni katika moja ya roadtrip zangu nilizofanya mwaka 2020.

hapa tunatoka zetu singida kuelekea arusha.
sina knowledge kubwa kuhusu barabara ya singida-arusha, kwa maana hiyo sikumbuki jina la sehemu niliyo record video hii. ila nakumbuka tulikuwa tunaitafuta katesh.

ilikuwa ni msimu wa wa masika, uoto wa kijani ulikuwa umekubari sana kiasi cha kuleta mvuto kwa aliyetazama.

NB:
ilikuwa ni trip ya kikazi, gari tuliyotumia ni toyota hiace wagon grand cabin, mali ya taasisi fulani.enjoy.
View attachment 2435554
Clip nzuri sana binafsi nazipenda sana,wimbo mzuri mno wa kusindikiza safari, welldone mkuu, Nami InshaAllah ninajiandaa kufanya long trip soon,mkuu hii barabara wameiwekea matuta kama T1?
 
20221204_195623.jpg
 
Back
Top Bottom