Halafu gari ya UK hio obvious itakuwa kwenye anga za 250kphHabari! Lexus ISF 5.0L V8 engine
YOM -2008 with 419 HP
300km/hr hakuna haja ya kukata kamba...
nimeona specs zake nikapata msukumo Ku share nanyi.
Ahsanteni wakuu.
View attachment 2435329View attachment 2435330
Je ipo stableHabari! Lexus ISF 5.0L V8 engine
YOM -2008 with 419 HP
300km/hr hakuna haja ya kukata kamba...
nimeona specs zake nikapata msukumo Ku share nanyi.
Ahsanteni wakuu.
View attachment 2435329View attachment 2435330
Kama million 200 unaona nyingi, na hizo gari za million 200 zimezagaa barabarani basi utakuwa na ufinyu wa fikra juu ya hela.Mkuu kama kwako gari ya $80,000 (Tzs 200m),ushuru 90m(per wewe) kama ni ya kawaida hongera sana.
gari za milioni 200 zimezagaa barabarani?!, barababara za hapa hapa tanzania?.Kama million 200 unaona nyingi, na hizo gari za million 200 zimezagaa barabarani basi utakuwa na ufinyu wa fikra juu ya hela.
jf kila member ni upper class and middle class citizen.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu kama kwako gari ya $80,000 (Tzs 200m),ushuru 90m(per wewe) kama ni ya kawaida hongera sana.
kaka mimi matusi ya wanajf hayajawahi kunishughurisha.Mkuu mtu kama huyu muache tu ataishia kukutukana.
Clip nzuri sana binafsi nazipenda sana,wimbo mzuri mno wa kusindikiza safari, welldone mkuu, Nami InshaAllah ninajiandaa kufanya long trip soon,mkuu hii barabara wameiwekea matuta kama T1?video kutoka maktaba:
ni katika moja ya roadtrip zangu nilizofanya mwaka 2020.
hapa tunatoka zetu singida kuelekea arusha.
sina knowledge kubwa kuhusu barabara ya singida-arusha, kwa maana hiyo sikumbuki jina la sehemu niliyo record video hii. ila nakumbuka tulikuwa tunaitafuta katesh.
ilikuwa ni msimu wa wa masika, uoto wa kijani ulikuwa umekubari sana kiasi cha kuleta mvuto kwa aliyetazama.
NB:
ilikuwa ni trip ya kikazi, gari tuliyotumia ni toyota hiace wagon grand cabin, mali ya taasisi fulani.enjoy.
View attachment 2435554
barabara haina matuta mengi. ni nzuri sana. ina landscape za kuvutia.Clip nzuri sana binafsi nazipenda sana,wimbo mzuri mno wa kusindikiza safari, welldone mkuu, Nami InshaAllah ninajiandaa kufanya long trip soon,mkuu hii barabara wameiwekea matuta kama T1?
Nimeambatanisha na picha ya kisahaniEeeh aisee unakusudia nini na power yote hio? Usiniambie inaishia 180kph hio lazima inafika at least 250kph stock.
kuna review nilikuwa naangaia you tube inasifiwa iko vizuri ina stability nzuri kwa sababu naangalia tu sijawahi kuendesha na post hapo juu nilisema nimeiona tu huko kwenye mitandao nikaona ni share nanyi.Je ipo stable
Okay mzee baba.Najua kina 300kph ila huwa wanazuia around 250kph kwa gari kama hio.
Kula 7 uniuzie matatizoWazee wa road trip
chuma ya safari hii ipo sokoni.
NISSAN MURANO
2006
2.4l
very well maintained
gari inataka 13.5M mazungumzo mengi sana wakuu njooni PM tujaribu kuyajenga,unaletewa popote baada ya makubaliano
[emoji120]View attachment 2436494View attachment 2436495View attachment 2436496