Welldone mkuu unapo plan road trip yako inakua safi sana,always listen the main music!,coming under your bonnet, mziki huu uusikilize sana kuliko unaotoka kwenye speakers zako,rest and rest, avoid road rage, epuka drive and stop hii inakula sana wese, accerate taratibu huku ukiipa gari to pick up the speed itself usilazimishe,AC ni safi ila wese nalo litapotea ,kwa hiyo unapopack ,weka kwenye kivuli, na kila wakati ruhusu hewa mpya kuingia kwenye gari!,travel safely, binafsi yangu ya kufungia mwaka haipo mbali InshaAllah, tupia vipicha mkuu