Salute salute mkuu, unaijua vema hii T2,pit stop chinsali military check pointNakonde - Mbala
ovyo haijakamilika
Mbala - Isoka
km 40 za ovyo mashimo vumbi/tope
Isoka - Chinsali
km 160 tarmac iliyotulia
Chinsali via matumbo shiwang'andu Mpika
tarmac ya zamani atleast na shimo za hapa na pale
Mpika via lavushimanda mununga Serenje
Hii ndio balaa mahandaki/ mashimo ingawa sehemu chache Ina afadhali lakini nyembamba sana
Serenje via mukushi Kapiri mposhi
Hii ndio T2 haswaa
Onyo
Kama hujawahi kupita hii barabara uwe makini muda wowote utabadilishwa jina[emoji1787]
Huko ndio tunatafutia ugaliSalute salute mkuu, unaijua vema hii T2,pit stop chinsali military check point
Hii route ni super mkuu,via Botswana or Zim, ila kwa sasa bora via Botswana (kazungula bridge OSBP).Duh huko kuimaliza Tunduma tu shughuli,ipo siku. Nina mpango wa Dar-Jburg siku nikinunua brand new car.
Hoot mkuu tunapopishana,maana zile handaki ni balaaHuko ndio tunatafutia ugali
Hatari sana mkuuHoot mkuu tunapopishana,maana zile handaki ni balaa
Ila kwa sasa naona wanafukia zile sehemu zote zilizokua na mahandaki, Zambia nashindwa kuwaelewa muda mwingine, barabara hii ndio aorta yao ila mahandaki yanaanzia pale pale geti la border yao!Hatari sana mkuu
Pale mununga au bwawa la samaki
Shimo sio za kitoto
Ni shidaIla kwa sasa naona wanafukia zile sehemu zote zilizokua na mahandaki, Zambia nashindwa kuwaelewa muda mwingine, barabara hii ndio aorta yao ila mahandaki yanaanzia pale pale geti la border yao!
Mkuu upo right tunapoteza trunks nyingi sana Zambia kwa ajali looo inasikitisha mno, na container zinainuliwa kwa kutumia magogo!,sio cranesNi shida
Halafu hata hawajali
Cha ajabu migari yao Ile inapakia abnormal
Huwezi kuta limeanguka za kwetu Sasa[emoji1787]
Ni shida kila km 150 lazima ukute kontena
Kapiga shimo likamchota
Halafu ni Zambia yote wanafanya hivyoMkuu upo right tunapoteza trunks nyingi sana Zambia kwa ajali looo inasikitisha mno, na container zinainuliwa kwa kutumia magogo!,sio cranes
Na ya Kafue ,Mazabuko, Choma, Kalomo hadi kazungula border, hii ni nzuri mno mkuuHalafu ni Zambia yote wanafanya hivyo
Kitwe Chingola
Nilikuwa solwezi via mutanda Zambezi
Karibu na Angola huko
Ile barabara nayo imechoka mno
Barabara nzuri ni Kapiri Lusaka kwenda Chirundu huko near Zimbabwe
Welldone mkuu unapo plan road trip yako inakua safi sana,always listen the main music!,coming under your bonnet, mziki huu uusikilize sana kuliko unaotoka kwenye speakers zako,rest and rest, avoid road rage, epuka drive and stop hii inakula sana wese, accerate taratibu huku ukiipa gari to pick up the speed itself usilazimishe,AC ni safi ila wese nalo litapotea ,kwa hiyo unapopack ,weka kwenye kivuli, na kila wakati ruhusu hewa mpya kuingia kwenye gari!,travel safely, binafsi yangu ya kufungia mwaka haipo mbali InshaAllah, tupia vipicha mkuuSafari yangu itaanza next week kuelekea Bomang'ombe (Kilimanjaro)
Gari, Premio Cc 1790
Kutoka Kanda ya ziwa
Full tank ni Lita 60 lakini najua mpaka gari ijae zitakuwa kati ya lita 45 mpaka 40 sababu gari haitakuwa empty kabisa
Bajeti ya one route kwa mafuta ni kuanzia 150k- 180k na nna uhakika yatanifikisha.
Naandalizi ni service ya tairi, brake, taa, ( engine oil nishabadili miezi 3 iliyopita na ni ya km 9000 bado ziko 2+k)
Ntabeba spare tyre, jeki, triangle, maji caton 2 makubwa, Dumu la ltr 5 empty emergency,) ntakuwa peke Yangu.
Safari itaanza saa 10 na nusu Alfajiri, ili saa 1 kasoro inikute Shinyanga, na saa 4 kamili niwe singida.
Kuanzia singida ni mkeka usio na magaro kabisa no full kujiachia risk ni ndogo.
Ewe Mwenyezi Mungu Nisaidie.
Mazungumzo lazma yawe mengi mzee sababu hio bei ni ya namba DZWazee wa road trip
chuma ya safari hii ipo sokoni.
NISSAN MURANO
2006
2.4l
very well maintained
gari inataka 13.5M mazungumzo mengi sana wakuu njooni PM tujaribu kuyajenga,unaletewa popote baada ya makubaliano
[emoji120]View attachment 2436494View attachment 2436495View attachment 2436496
Kijana Japan ni nyumbani mtakuja tu 😂Alphard unyama mwingi sana.
Hako ka funcargo hakali wese jamani, kuwa makini na overtakes tu.Haya wazee wa road trip, baada ya kusoma sana humu nami nimehamasika nipige ka trip ka dar tanga dar arround 700km,
Haya tupeane uzoefu kwa kagari kenye injini ya 2SZ kanaweza kunywa lita ngapi kwa safari yote? (Nazungumzia budget)
Pili muda gani mzuri mwanawane wa kukiamsha early morning ama mida ya wanga ndio poa?
Tatu nipeni mi mgeni njia hii ya kaskazini as mi mmakonde dar ntwara ndio sana tu so nipeni hints za kuzingatia ili niwe na safari poa na amaizing.😀😀
Nimeshaandaa bamuziki ba kongo playlist ya kutosha tu kunisindikiza na safari.
Ni hayo tu wazee.
Van za benz hazigusikiKijana Japan ni nyumbani mtakuja tu 😂
Zile tuachie waingereza tuVan za benz hazigusiki
GX110 huyo anamuwinda V8 ila hawezi mlaRoad trip mnyama v8.View attachment 2440510
Ushauri Murua kabisa Mkuu, Nashukuru SanaWelldone mkuu unapo plan road trip yako inakua safi sana,always listen the main music!,coming under your bonnet, mziki huu uusikilize sana kuliko unaotoka kwenye speakers zako,rest and rest, avoid road rage, epuka drive and stop hii inakula sana wese, accerate taratibu huku ukiipa gari to pick up the speed itself usilazimishe,AC ni safi ila wese nalo litapotea ,kwa hiyo unapopack ,weka kwenye kivuli, na kila wakati ruhusu hewa mpya kuingia kwenye gari!,travel safely, binafsi yangu ya kufungia mwaka haipo mbali InshaAllah, tupia vipicha mkuu